Karibuni masijala
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 409
- 135
Wanajamvi hebu tutoe maoni, ushauri kwa Viongozi wetu kwa matukio hayo mawili ya kutekwa na kukamatwa kwa viongozi wa Imani. Je kunatatua tatizo au kunazalisha matatizo mengine. Imetokea kwa mataifa mengine wakizani kwa kufanya hivyo ni kuzima moto kumbe ni kuuchochea.
Nia ni kupata hekima na busara za kuwasaidia viongozi wetu kutatua tatizo kwa namna huzalishi lingine. Kamanda ametaja kwanini wamemkamata Sheik Ponda ni pamoja na uchochezi, maandamano ya kidongo chekundu, kutishia viongozi halali wa BAKWATA, Vurugu za mbagala wakati kutekwa kwa Sheik Farid ni shughuli za uamsho kutokana na matukio hayo Zanzibar wamevamia ofisi za ccm kuchoma moto wakati huku bara wafuasi wa Ponda wameandamana wamepigwa mabomu. Hivyo hatua zilizochukuliwa zimezalisha matatizo mengine.
Karibu kwa hoja za nini kifanyike tusizalishe matatizo juu ya matatizo bali tutatue hasa kutokana na Ma Sheik hawa kazi zao na hatua wanazochukuliwa.
Nia ni kupata hekima na busara za kuwasaidia viongozi wetu kutatua tatizo kwa namna huzalishi lingine. Kamanda ametaja kwanini wamemkamata Sheik Ponda ni pamoja na uchochezi, maandamano ya kidongo chekundu, kutishia viongozi halali wa BAKWATA, Vurugu za mbagala wakati kutekwa kwa Sheik Farid ni shughuli za uamsho kutokana na matukio hayo Zanzibar wamevamia ofisi za ccm kuchoma moto wakati huku bara wafuasi wa Ponda wameandamana wamepigwa mabomu. Hivyo hatua zilizochukuliwa zimezalisha matatizo mengine.
Karibu kwa hoja za nini kifanyike tusizalishe matatizo juu ya matatizo bali tutatue hasa kutokana na Ma Sheik hawa kazi zao na hatua wanazochukuliwa.