J Jasusi JF-Expert Member May 5, 2006 11,551 5,434 Sep 12, 2012 #2 Hawa ni kama ndugu wa damdam. Wamelala kambi moja, wamepigana pamoja, na wameona mengi pamoja.
Genekai R I P Feb 9, 2010 12,517 4,987 Sep 12, 2012 #3 Nimeshindwa kuvumilia, ilipaswa kuwa "a picture SPEAKS more than words!!!!!
Sordo JF-Expert Member Nov 14, 2011 396 122 Sep 12, 2012 #4 Safi sana afugaji wa ukweli sio sawa na JK anasema unakuta Ng'ombe amekonda na mfugaji amekonda pia, utadhani mifugo na wafugaji hawana thamani yoyote
Safi sana afugaji wa ukweli sio sawa na JK anasema unakuta Ng'ombe amekonda na mfugaji amekonda pia, utadhani mifugo na wafugaji hawana thamani yoyote