Mwanakijiji said:Sijui kama itawezekana kuchapishwa kwenye mojawapo ya magazeti nyumbani..
Mwanakijiji,
..hiki kitu kizito. magazeti ya bongo yataogopa.
Mwanakijiji said:Sijui kama itawezekana kuchapishwa kwenye mojawapo ya magazeti nyumbani..
Kama anasema hajui, na hili ni jambo linalohusu serikali yake, je amefanya nini ili kulijua kabla hajasimama kuhutubia taifa?
siripendi ri mwanakijiji ila hapa naripongeza...nimempa thanks.....whack poem, not quite creative
Ninawapongeza wale wote ambao wameiona hotuba hiyo kuwa ya kinafiki na ya uongo,Watanzania HATUDANGANYIKI!
Hicho kikao cha CC kilichoamua kuwa Dowans walipwe nani alikuwa Mwenyekiti wa hicho kikao?Au atwambie kama na CC haijui!Waziri wa nishati aliwataja hao wanaowasingizia kuwa ndo wamilika wa Dowans,leo hii Rais wake anasema HAWAJUI?Mahakama imesema,aliyepewa mamlaka ya kudai malipo hayo ni Rostam Aziz ambaye ni mjumbe mwezie wa CC,kwa nini hasimuulize ili amwambie hizo hela anazodai kwa niaba ya Dowans,zikishalipwa atawakabidhi akina nani?
KIUJUMLA HOTUBA INAKERA,INACHEFUA!
Wow Wow! Did he really say all that? Kweli CCM inazaa mabuya...This is what CCM can do for you...I hope free minded CCM waliobaki watahama this time...Why remain as mwanachama wa CCM wakati mwenyekiti wako ni incompetent?
Mzee MM,
Unaonanje hii single tuiamishie kule kwenye jukwaa la Burudani na Michezo...
Halafu fanya fasta uisajili hii kazi kule COSOTA kabla haijaibwa na vijana wa bongo fleva...:clap2:
Mwisho nasauri pia uwasiliane na Mh. SUGU ili ikiwezekana iwekwe kwenye Antivirus Mixtape Vol. 2....:coffee:
"sijui" mara nyingi ni utetezi mwepesi wa kukwepa maswali mgumu au maswali zaidi.Kila mtu akiulizwa kitu ambacho anatakiwa awe na ujuzi nao au ambacho anaweza kujua akitaka aanze kusema "na mimi sijui".. tuone kama nchi itakwenda!
Sijui kama itawezekana kuchapishwa kwenye mojawapo ya magazeti nyumbani..
"sijui" mara nyingi ni utetezi mwepesi wa kukwepa maswali mgumu au maswali zaidi.
Mtu akishajibu " sijui" mara mbili au zaidi wewe muuliza swali unafanyaje?........jazia mwenyewe
Ni burudani tu.. nina uhakika majibu yake kwa maswali hayo hapo juu yatafanana sana na ninavyofikiria atakavyojibu..