MaryGeorge
Member
- Aug 20, 2010
- 62
- 14
Nilishangaa aloongea hayo akashangiliwa nikjua kweli watanzania tunasahau na kudanganywa kirahisi, juzi tu NEC ya ccm Kikwete akiwa mwenyekiti wake ilitoa tamko kuwa ni busara dowans kulipwa na leo hii anakuja na habari nyingine tunashangilia? Kweli Tanzania imefumbwa macho![/QUOTE]
Na Tanzania imefumbwa macho na Mwenge wa Uhuru unaopitishwa kila kona ya nchi hii - Mwenge wa enzi za Mwalimu sio sawa na wa sasa hivi - Watanzania SIJUI, labda Mwenyezi Mungu tu aingilie kati.