MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
WanaJF nawaamkua!!
Nimekosa Title ya Thread.........
Nimekaa hapa jioni hii nasoma Parents Issue no 299 ya June 2011; pg 56 Article iliyoandikwa kwenye Section ya "Men Only" kuna makala iloandikwa na Christopher Maina............. Makala hii ya kiingereza ina kichwa cha Habari kisemacho ."A man should provide for his wife. PERIOD"........
Makala hii inaanza kwa kuainisha umuhimu wa wapenzi/wanandoa kuzungumzia masuala yahusuyo finances na zaidi inaelezea umuhimu wa kila mwanandoa kuchangia katika mkate wa kila siku kwa familia yao!! HATA HIVYO makala hii inaainisha wazi kuwa Wanaume wana njia kuu mbili za kuwa'impress' wake/wanawake zao, nazo ni;
1. Kupitia tendo a ndoa (kumfurahisha/kukidhi haja za mkewe/mwanamke wake kitendo) na
2. Kuweza kumtimizia mahitaji ya Mke/mwanamke wake matumizi (hapa imeandikwa nanukuu..' providing for her upkeeping, including her offspring and relatives - everything else including loving her mother and father are included in this front).........mwisho wa kunukuu!
Kupitia njia hizi Mwanaume amekuwa akijiinua na kuonyesha uanamume wake (Man's ego...)
Nina maswali mawili makuu;
1. Je hii ni kweli??
2. Kama ni kweli hiki anachozungumzia Bwana Maina, tusemeje pale ambapo wanawake wengi sio kwamba tu wanalalamika juu ya 'kutoridhishwa kwao kitendo" lakini pia waume zao wanashindwa kuwatimizia mahitaji mengine muhimu kama ilivyowekwa hapo?
Nimekosa Title ya Thread.........
Nimekaa hapa jioni hii nasoma Parents Issue no 299 ya June 2011; pg 56 Article iliyoandikwa kwenye Section ya "Men Only" kuna makala iloandikwa na Christopher Maina............. Makala hii ya kiingereza ina kichwa cha Habari kisemacho ."A man should provide for his wife. PERIOD"........
Makala hii inaanza kwa kuainisha umuhimu wa wapenzi/wanandoa kuzungumzia masuala yahusuyo finances na zaidi inaelezea umuhimu wa kila mwanandoa kuchangia katika mkate wa kila siku kwa familia yao!! HATA HIVYO makala hii inaainisha wazi kuwa Wanaume wana njia kuu mbili za kuwa'impress' wake/wanawake zao, nazo ni;
1. Kupitia tendo a ndoa (kumfurahisha/kukidhi haja za mkewe/mwanamke wake kitendo) na
2. Kuweza kumtimizia mahitaji ya Mke/mwanamke wake matumizi (hapa imeandikwa nanukuu..' providing for her upkeeping, including her offspring and relatives - everything else including loving her mother and father are included in this front).........mwisho wa kunukuu!
Kupitia njia hizi Mwanaume amekuwa akijiinua na kuonyesha uanamume wake (Man's ego...)
Nina maswali mawili makuu;
1. Je hii ni kweli??
2. Kama ni kweli hiki anachozungumzia Bwana Maina, tusemeje pale ambapo wanawake wengi sio kwamba tu wanalalamika juu ya 'kutoridhishwa kwao kitendo" lakini pia waume zao wanashindwa kuwatimizia mahitaji mengine muhimu kama ilivyowekwa hapo?