A. Mahimbo apeleka pingamizi kwa Pengo dhidi ya Dr Slaa

Mambo mengine mtu anafanya anakuwa anajidhalilisha mwenyewe, wanawake wamejaa kila kona ya nchi hii, kama mtu unaona huyu mmoja anakuzingua unaachana naye unatafuta mwingine.
Hata kama Josephine asipoolewa na Dr. Slaa, mahimbo ana uhakika gani kwamba ndio atarudi kwake??
 
slaa aliwahi kuoa hapo mwanzo? Alishajitoa upadre ana haki ya kuoa.

Rose kamili aliolewa na slaa? Kama hakuolewa na slaa, na alizaa nae, hawezi kuzuia ndoa, anachoweza kudai ni matunzo ya watoto kama wapo chini ya miaka 18

je huyo josephine aliolewa? Na aliolewa wapi? Kama hakuolewa kanisani, na ndoa yake alofunga popote pale (kama ipo) mradi si kanisani, ilivunjwa?
Kama ilivunjwa yupo huru kuolewa.....

Ila kumbuka katoliki inatambua ndoa iliyofungwa kanisani tu, (kama hakufunga ndoa kanisani, na ndoa hiyo imevunjwa kisheria, josephine anahaki ya kufunga ndoa ya kanisa.....as long as ni mkristo)

huu ndo uelewa wangu, wataalamu waje kuchambua zaidi.....

RC huwa wanatoa furusa kwa mtu yeyote mwenye pingamizi juu ya ndoa zinazotaka kufungwa
 
Mambo mengine mtu anafanya anakuwa anajidhalilisha mwenyewe, wanawake wamejaa kila kona ya nchi hii, kama mtu unaona huyu mmoja anakuzingua unaachana naye unatafuta mwingine.
Hata kama Josephine asipoolewa na Dr. Slaa, mahimbo ana uhakika gani kwamba ndio atarudi kwake??

Mahimbo anachotaka ni mkewe tu ndo mana anapeleka pingamizi kwa pengo
 
Kama wewe ni RC utanielewa kabla ya ndoa kufungwa uwa wanaweka matangazo matatu kanisani
kujua kama kuna pingamizi lolote juu ya wale wanaofunga ndoa

Sasa hii itakuwa ndo furusa yenyewe kwa Mihambo kupeleka pingamizi kwa Pengo na kanisa analotaka kufungia

Na pingamizi lenyewe lazima liwe na mashiko, si kudhani kwamba kil pingamizi linakubalika.
Ukiachilia mbali kifo, je unafahamu sababu nyingine moja tu ya msingi inayoweza kumfanya mke akaachika kwa mumewe??
 
Jamani huyu bwana alipewa nafasi ya kuitetea ndoa yake na kuleta mashahidi ambao walimuangamiza kabisa kwa kumueleza yeye ni nani.

Alishindwa kuitetea ndoa kwa wazee wa kanisa na wakaridhia iende mahakamani ndani ya miaka miwili tumelishughulikia hili na hatimae mahakama ikaendesha shauri kwa miezi minne,na aliposhindwa kuishawishi mahakama .
Nilipokea Talaka yangu kwa kupitia taratibu zote.
 
Jamani huyu bwana alipewa nafasi ya kuitetea ndoa yake na kuleta mashahidi ambao walimuangamiza kabisa kwa kumueleza yeye ni nani.

Alishindwa kuitetea ndoa kwa wazee wa kanisa na wakaridhia iende mahakamani ndani ya miaka miwili tumelishughulikia hili na hatimae mahakama ikaendesha shauri kwa miezi minne,na aliposhindwa kuishawishi mahakama .
Nilipokea Talaka yangu kwa kupitia taratibu zote.


sasa imekuwaje anaenda kwa pengo?
 
Jamani mbona kama huyu Mahimbo inasemekana alishakuwa ameachana na Josephine miaka miwili kabla Josephine hajaanza mahusiano na Dr Slaa? Na pia ilisemekana kuwa ana mke mwingine na alishazaa nae? Sina tu source but hayo yaliibuliwa mwaka ule wa uchaguzi baada ya jamaa kuja juu na kesi ya madai ya kudhalilishwa na ilikuwa ni sababu mojawapo ya kesi yake ya madai hayo kutokuwa na nguvu.

Too bad sina source ila nikipata nitaileta hapa
 
RC huwa wanatoa furusa kwa mtu yeyote mwenye pingamizi juu ya ndoa zinazotaka kufungwa

yes wanatoa pingamizi.....
Lakini kama josephine yupo huru kuolewa(hana kizuizi) kigezo cha rose kuzaa na slaa hakizuii kanisa kuifungisha ndoa hiyo..... Rose angeweza kuizuia ndoa kama tu aliolewa na slaa....

Unless kama jose ana kipingamizi....
Tena kama alifunga ndoa ya kanisani hapo slaa hatoweza kumuoa jose.....

Sasa je josephine alifunga ndoa ya kikristu?
 
Hakuna kitu hapo zaidi ya siasa!

Namkumbuka prince Philip na Camilla Parker Bowles....mtalaka alionyesha ushirikiano wa kutosha mpaka akaalikwa kwenye harusi ya Andrew...

Mahimbo aonyeshe ushirikiano chanya...maana kwa mwanaume wa Kitanzania aliyekamilika idara zote anaibiwa mke, anajua mwizi wake, anamezea , anazalishwa anamezea anajua mwizi yuko wapi.....well lakini wanasema you should strike where it hurt the most, Dr Slaa should have gone through the process of ensuring divorce proceedings are concluded before wanting to marry....

Hii ndoa itakuwa dissolved through irreperable(sp) damages
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Jamani mbona kama huyu Mahimbo inasemekana alishakuwa ameachana na Josephine miaka miwili kabla Josephine hajaanza mahusiano na Dr Slaa? Na pia ilisemekana kuwa ana mke mwingine na alishazaa nae? Sina tu source but hayo yaliibuliwa mwaka ule wa uchaguzi baada ya jamaa kuja juu na kesi ya madai ya kudhalilishwa na ilikuwa ni sababu mojawapo ya kesi yake ya madai hayo kutokuwa na nguvu.

Too bad sina source ila nikipata nitaileta hapa

kama hilo ni kweli then mahimbo atakuwa anatumiwa kisiasa..... Meanwhile yeye akikinga mpunga wa kumwezesha kuishi mjini kutoka kwa wanasiasa.......
 
Mkuu DALLAI LAMA mtu akidai haki yake basi anakuwa anatumika? Hii kitu kwa Dr. Slaa inaonekana kuwa janga. Mahimbo anatumika, Rose Kamili anatumika!
Kimbunga habari za siku nyingi,
Well, wote wawili wanapigania "haki zao" lakini katika hali ya kawaida wanachofanya ni kutaka kuhakikisha kwamba Slaa haoi, kwa lugha nyepesi ni sawa na kusema liwalo na liwe.

Nina uhakika kwamba wote wawili wanatambua ukweli kwamba; Rose kamili anatambua kwamba Slaa hawezi kumuoa na mahimbo anatambua kwamba josephine hawezi kumrudia. Kinachofanyika hapa ni kukomoana tu!!!
 
Last edited by a moderator:
Jamani huyu bwana alipewa nafasi ya kuitetea ndoa yake na kuleta mashahidi ambao walimuangamiza kabisa kwa kumueleza yeye ni nani.

Alishindwa kuitetea ndoa kwa wazee wa kanisa na wakaridhia iende mahakamani ndani ya miaka miwili tumelishughulikia hili na hatimae mahakama ikaendesha shauri kwa miezi minne,na aliposhindwa kuishawishi mahakama .
Nilipokea Talaka yangu kwa kupitia taratibu zote.

kama mahakamani napo ameshindwa sijui sasa kwa Kardinali Pengo anatafuta nini, ndio maana katika hali kama hii wanaosema anatumika kisiasa sasa naanza kuwaamini.
 
ikulu-mugabe-1.jpg
 
Mambo mengine mtu anafanya anakuwa anajidhalilisha mwenyewe, wanawake wamejaa kila kona ya nchi hii, kama mtu unaona huyu mmoja anakuzingua unaachana naye unatafuta mwingine.
Hata kama Josephine asipoolewa na Dr. Slaa, mahimbo ana uhakika gani kwamba ndio atarudi kwake??

Hivi Mahimbo ana mke kwa sasa au yupoyupo?
 
Walimtumia huyu bwana 2010 but it didnt work, sasa what makes them it this time atafanikiwa? And assume ndoa haifungwi, ndio kusema Josephine atarudi kwake?

It didn't work? Hivi matokeo ya urais yalikwisha tangazwa?
 
Hivi huyu bwana Mahimbo bado anatafuta mapenzi kwa huyo mwanamke? Kwani wakati Dr. Slaa anamchukua walikuwa na makubaliano kuwa atakuja kumrudishia? Kama mke aliamua kuwa hamtaki na mahakama imeridhia hilo kwa nini analazimisha?
 
anatumika kivipi?
Mbona hiko wazi kuwa anatafuta haki yake?

Haki yake ni ipi wakati mwanamke hajampa haki yake ya ndoa zaidi ya miezi sita? Au alifikiri ndoa ni kuifunga tu na kuwekana kitanzi? Mbona kuna watu wako tayari kuwacheleweshea wenzao tu, au na yeye anataka aoelewe na Dr. Slaa? Mwambieni kuna waoaji wa jinsia yake lakini sio Dr.
 
Back
Top Bottom