A light touch: Dakika kumi!

Nadhani mpaka tulipofikia tunahitaji chama kingine cha mapinduzi kitakachopindua hiki chama cha mafisadi. Inauma sana unapoona mambo kama haya yakifanyika ndani ya nchi yetu wenyewe tena yakifanywa na ndugu zetu wakishirikiana na vibaraka wa nje. Hivi kweli hawa watu hawamuogopi MUNGU kweli?? Halafu ndo hao utawasikia kukiwa na matukio ya kuchangisha fedha makanisani au misikitini basi wao ndo wanajifanya kuwa watoaji wakubwa. Kana kwamba wanamuhonga MUNGU hiyo michango yao kumbe ni kujifanya ni waswalihina wakati ni ma-FIRAUNI wa kutupa! SHAME ON THEM!

Natamani yatokee mapinduzi Tanzania, naam ntashiriki kwa bidii zote kuwachapa mbakora hawa mabiradhuli wanaoinyonya nchi yetu iliyojaa maziwa na asali! Nasema Ole wenu mafisadi!!
 
mkjj, again you stand out from the crowd! thanks for this man.. Unajua, hii kweli inaumiza vichwa sana, tena sana sana. Ila ninaamini in 'my heart of hearts' kuwa kila jambo lina mwisho. Tunaokereka na kuathirika ki-kweli na haya tunaweza kubaki wachache, lakini it won't be in vain! Tuendelee kupigana.. tuendelee kutafuta taarifa na zaidi kuzifanyia kazi kwa njia zote Mungu alizotujalia. Tanzania yetu nzuri lazima tuikomboe kutoka kwa haya majizi. SHAME ON THEM!!
 
I'm lost for words at this scenario! I can't wait for it to be unfolded!
 
mi naona skendo kama hii nikuhakikisha kukamata enough data
then kungoja 2months kabla ya election then kumblast huyu mshenzi on the international media... kwasababu local wote waoga... ama before CCM announces its candidate mnamblast, maandamano, vurugu za hapa na pale: mpaka abanwe aache kugombea!
 
Haya "hadithi" hii inatufundisha nini?

(1) Vita dhidi ya ufisadi nchini Tanzania bado ina safari ndefu
(2) Viongozi ambao wanatoka miongoni mwetu ndio vinara wa ufisadi, nadhani tunahitaji muswada binafsi wa kubinafsisha Ikulu irudi kwa waingereza
(3) Hayo mamilioni yawezekana Rostam anataka kutoroka nchi na kumwandalia JK na Mkapa makao baada ya utawala wake dhalimu
(4) Jeshi linaloongozwa na ka 'nzi' liko makini japo vita ya jeshi ni kam ile ya msituni na bado haijakaribia kuteka walau kituo cha Radio cha nchi

I am just thinking aloud but believe it or not, i fee sever headache after the revelations by kanzi
 
mi naona skendo kama hii nikuhakikisha kukamata enough data
then kungoja 2months kabla ya election then kumblast huyu mshenzi on the international media... kwasababu local wote waoga... ama before CCM announces its candidate mnamblast, maandamano, vurugu za hapa na pale: mpaka abanwe aache kugombea!

Nadhani nakubaliana na wewe.
maoni yako tukiyajengea mkakati, yanaweza kumng'oa JK na CCM kwa ujumla wake katika race..
 
Nadhani nakubaliana na wewe.
maoni yako tukiyajengea mkakati, yanaweza kumng'oa JK na CCM kwa ujumla wake katika race..

Umng'oe JK ili iweje?, Una uhakika ndo chanzo cha matatizo Tanzania?, Toka tupate uhuru ukiacha serious case ya akina Nalaila Kiula ni awamu ipi ambayo mawaziri au watendaji wakuu serikalini wamefikishwa mahakamani zaidi ya utawala huu wa JK?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Kuiondoa CCM madarakani sio suluhu ya matatizo yetu watanzania.

We better think BIG.
 
Umng'eo JK ili iweje?, Una uhakika ndo chanzo cha matatizo Tanzania?, Toka tupate uhuru ukiacha serious case ya akina Nalaila Kiula ni awamu ipi ambayo mawaziri au watendaji wakuu serikalini wamefikishwa mahakamani zaidi ya utawala huu wa JK?

angalia historia ya nchi yako kwa ukaribu utashangaa! si wote walifikishwa mahakamani lakini karibu wote walishughulikiwa. Naweza kuanza kutaja mifano. Halafu kama kushangilia ni watu "kufikishwa mahakamani" basi tuna kazi maana kufikishwa mahakamani si kazi hata kidogo. Kama hicho ndicho kinachokufanya uridhike basi tarajia wengi tu watafikishwa mahakamani. Hata Lowassa anaweza kufikishwa mahakamani na watu watashangilia. Not I though.
 
angalia historia ya nchi yako kwa ukaribu utashangaa! si wote walifikishwa mahakamani lakini karibu wote walishughulikiwa. Naweza kuanza kutaja mifano. Halafu kama kushangilia ni watu "kufikishwa mahakamani" basi tuna kazi maana kufikishwa mahakamani si kazi hata kidogo. Kama hicho ndicho kinachokufanya uridhike basi tarajia wengi tu watafikishwa mahakamani. Hata Lowassa anaweza kufikishwa mahakamani na watu watashangilia. Not I though.

Mzee Mwanzangu;

Kushughulikiwa ndo kule Bakari Mwapachu na Kahama wakiharibu BIT (Board of Internal Trade) anapelekwa Air tanzania, huyu akiharibu BET anapelekwa NAFCO etc.

Ndo hiyo kushughulikiwa? Au nimemiss kitu mzee mwenzangu?
 
Umng'oe JK ili iweje?, Una uhakika ndo chanzo cha matatizo Tanzania?, Toka tupate uhuru ukiacha serious case ya akina Nalaila Kiula ni awamu ipi ambayo mawaziri au watendaji wakuu serikalini wamefikishwa mahakamani zaidi ya utawala huu wa JK?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Kuiondoa CCM madarakani sio suluhu ya matatizo yetu watanzania.

We better think BIG.

Yes we have to, but how BIG, BIG is doing away with the regime ambayo iko tayari kulindana hata kama madudu yanafanyika hadharani.
Why JK ang'oke, aliingia hapo kwa Rushwa, hawezi kudhibiti Rushwa..kwa hiyo wewe unaona tuendelee naye hadi lini na unadhani ndipo tutaondoa matatizo yetu.

Our main culprit ni CCM na JK ofcourse. Change of regime is what we need.
To me, this is what I call a BIG THINKING na hata wewe hilo likitokea utaona kama ukurasa mpya umefunguliwa, na unaujua ukweli moyoni mwako ili hutaki kuusadiki tu.
 
Haya "hadithi" hii inatufundisha nini?

Hadithi hii inatufundisha kwamba mafisadi hawako makini na they are not invisible!!

All in all... MMM you have my votes for taking all these risks for your country!!!
 
Last edited:
Mwanakijiji,

Thanks for your tip. Most usefull but i fail to understand what other people fighting for. Nafikiria the word ufisadi ni kubwa mno watu kuingia akilini na wakaelewa. Nafikiria hivi:
- think of HAND TO MOUTH actions like watu kwenda kortini, kuvunja mikataba, kuweka matuta barabarani na mitume kibao.
- Nini maana na chimbuko la ufisadi?
- Ni maana ya utawala bora na haki za binaadamu
- Maadili ya viongozi
- Majukumu na Uwajibikaji wa viongozi

Kuna baadhi ya watu wanatumia kimoja kwenda kuficha kingine. Mfano sina ushahidi siwezi kupeleka mtu mahakamani wakati huo huo yule anaesema anaambiwa ule ushahidi alioletewa achome moto ili asingizie faili limepotea na aliyempelekea file hakuwa na dispatch book na hakujua kama utaratibu huo upo maana hakuwahi kupitia hayo mafunzo yanayohusiana na kazi yake alioitiwa na mwajiri baada ya..........nchi ya kitu kidogoooooo.

Nani wa kulaumiwa ndo hapo tunakuja na kutoa sababu zisizo na msingi ila kujitundika katika mojawapo yanayofanana na hayo hapo juu.
 
Yes we have to, but how BIG, BIG is doing away with the regime ambayo iko tayari kulindana hata kama madudu yanafanyika hadharani.
Why JK ang'oke, aliingia hapo kwa Rushwa, hawezi kudhibiti Rushwa..kwa hiyo wewe unaona tuendelee naye hadi lini na unadhani ndipo tutaondoa matatizo yetu.

Our main culprit ni CCM na JK ofcourse. Change of regime is what we need.
To me, this is what I call a BIG THINKING na hata wewe hilo likitokea utaona kama ukurasa mpya umefunguliwa, na unaujua ukweli moyoni mwako ili hutaki kuusadiki tu.

Tatizo ni WANANCHI WA TANZANIA, na sio viongozi wao. Unataka niendelee kukuelezea au umeelewa?
 
Umng'oe JK ili iweje?, Una uhakika ndo chanzo cha matatizo Tanzania?, Toka tupate uhuru ukiacha serious case ya akina Nalaila Kiula ni awamu ipi ambayo mawaziri au watendaji wakuu serikalini wamefikishwa mahakamani zaidi ya utawala huu wa JK?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.

Kuiondoa CCM madarakani sio suluhu ya matatizo yetu watanzania.

We better think BIG.

Kumtoa Idi Amin pale Uganda ,Mobutu kule DRC, Bedel Bokkasa.....etc wote walikuwa chanzo cha matatizo katika nchi zao na baada ya kuwatoa angalau sasa nchi hizo zinafanya vizuri, Sisi sasa hivi tunapishana nao tukielekea kule watokako wao tena kwa speed kubwa ya ajabu kanakwamba tumechelewa,na ukizungumzia ya Nalaila bado unazungumzia yaleyale ya kesi zilizopangwa kushindwa kwani ukiwa mtu mzima na akili zako utayaona hayo tokana na mashtaka jinsi yalivyopangwa kushindwa, Sasa basi JK tunayemjua sio huyu wa leona CCM tunayoijua sio hii
 
Wakulu
Nchi haipo salama endapo mafisadi wataendelea kushika hatamu.
KURA zetu ziwe maamuzi (wakiiba je?).
Kainzi kamerukia upande upi mbona picha halisongi?? watu tushaanza kula popcorns hapa ohooo
 
Tatizo ni WANANCHI WA TANZANIA, na sio viongozi wao. Unataka niendelee kukuelezea au umeelewa?

Ina maana viongozi ni wasafi na wanaongoza nchi kulingana na katiba na maadili ya uongozi?
Wananchi wa Tanzania wanaamini kwa utashi wao kutokana na mfumo uliopo.
Viongozi wana sehemu kubwa ya kufanya mambo yaende vema wakati wa utawala wao..Hii ina maana kwamba, kiongozi mbaya = nchi chovu, kiongozi mzuri = nchi inastawi..

hata hivyo nipo tayari uendelee kunieleza..
 
fly%2Bon%2Bbicycle.jpg
 
Last edited:

Similar Discussions

Back
Top Bottom