Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Nguvu ya umma si ya kudharau hata kidogo! Kilichotokea Tunisia ni vyema viongoi wengi wasiojali wananchi wafikiri mara mbili. Ben Ali hakuwahi kuamini kama kuna siku angeishi ughaibuni Saudia. Nimefika Tunis Ben alikuwa kama ni Mungu mtu alikuwa msikiti mkubwa sana uliokuwa ukijulikana kama Ben Ali Mosque
Ben Ali Mosque
Ben Ali Mosque
Ilikuwa hairuhusiwi kabisa kutaja jina la Ben Ali vinginevyo uliwea potea. Oppression in Tunis was of the first order. Inteligensia ilikuwa ya hali ya juu sana lakini nguvu ya umma imeweza mtoa bila kupenda na kukimbilia Saudia.
Ben Ali Park
Bara bara ya kuelekea Carthage airport ! Kama Ben Ali alikuwa akitumia basi ilifungwa kwa masaa kadhaa.
Baadhi ya vivutio Tunisia.
Hali ya wananchi kutoiridhishwa na utawala mbovu imehamia Egypt! Hii itamwondoa Hosni Mubarak madarakani. He is a dead man walking!
Nikirudi kwetu Tanzania Mh Kikwete kitendo chake cha kuunga mkono ufisadi na kukuza rushwa wakati huo huo wanachi wakawaida maisha yakiwa magumu siwei shangaa hali ilikuwa Tunisia ikaikumba Tanzania. Kikwete utendaji wake umekuwa kisanii sana anshabikia malipo ya Dowans ajilipe anasahau kuwa nguvu ya umma ipo karibu kulipuka. Migomo ya wanafunzi elimu ya juu ni kielelezo cha uongoi wake uliooza. Kikwete lazimaufanye kitu kunusuru hii hali, htautaki kulipwa dowans kwa sababu yeyote ile. Vinginevyo aanze walisiana na King Abdulla wa Saudia kwa hifadhi
God bless Tanzania.
Rev Masa K
Ben Ali Park
Bara bara ya kuelekea Carthage airport ! Kama Ben Ali alikuwa akitumia basi ilifungwa kwa masaa kadhaa.
Baadhi ya vivutio Tunisia.
Hali ya wananchi kutoiridhishwa na utawala mbovu imehamia Egypt! Hii itamwondoa Hosni Mubarak madarakani. He is a dead man walking!
Nikirudi kwetu Tanzania Mh Kikwete kitendo chake cha kuunga mkono ufisadi na kukuza rushwa wakati huo huo wanachi wakawaida maisha yakiwa magumu siwei shangaa hali ilikuwa Tunisia ikaikumba Tanzania. Kikwete utendaji wake umekuwa kisanii sana anshabikia malipo ya Dowans ajilipe anasahau kuwa nguvu ya umma ipo karibu kulipuka. Migomo ya wanafunzi elimu ya juu ni kielelezo cha uongoi wake uliooza. Kikwete lazimaufanye kitu kunusuru hii hali, htautaki kulipwa dowans kwa sababu yeyote ile. Vinginevyo aanze walisiana na King Abdulla wa Saudia kwa hifadhi
God bless Tanzania.
Rev Masa K