matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
Waungwana, kuna majina ya ziada (a.k.a) mimi huwa yanayonikosha sana, ..na aya ni baadhi ya machache
1. Anne Makinda a.k.a Mama Posho
2. JK a.k.a Vasco da Gama
3..........a.k.a mzee wa Ban(sijasema namwogopa)
4.CUF a.k.a CCM-B
5. Madaraka Seleman a.k.a Mzee wa Kiminyio
6. Mchungaji Mwaipasile a.k.a Babu wa Loliondo
7. Chenge a.k.a Mzee wa Vijisenti
8.Nape Nnauye a.k.a Vuvuzela
9. P Funk a.k.a Kinywele Kimoja
10. Athuman Idd a.k.a Chuji(japo sifahamu maana ya Chuji)
11. Maneno Osward a.k.a Mtambo wa Gongo
12. Mzee Mwinyi a.k.a Ruksa
13. Pinda a.k.a Mtoto wa Mkulima(japo sina uhakika kama anajua ata kushika jembe)
14. Ngeleja a.k.a Mzee wa Megawati
15. Wassira a.k.a Tyson (big up sana aliyeasisi ili jina)
16. Salum Kabunda a.k.a Ninja (uyu ndio alikuwa ananipa tafsiri halisi ya beki asifiwi)
17. Aspen a.k.a Mzungu Kichaa
na zinginezingine
kuna watu huwa natafuta sana A.k.a zao hadi leo sijazijua mtu kama Shibuda,Meya wa Dsm,Sitta,Mnyika,Mkapa,Makamba kwa azijuaye azitupie hapa..
Pia kama kuna a.k.a unavutiwa nayo basi itupie nasi tuione uku tunafungafunga mwaka ivyo..
1. Anne Makinda a.k.a Mama Posho
2. JK a.k.a Vasco da Gama
3..........a.k.a mzee wa Ban(sijasema namwogopa)
4.CUF a.k.a CCM-B
5. Madaraka Seleman a.k.a Mzee wa Kiminyio
6. Mchungaji Mwaipasile a.k.a Babu wa Loliondo
7. Chenge a.k.a Mzee wa Vijisenti
8.Nape Nnauye a.k.a Vuvuzela
9. P Funk a.k.a Kinywele Kimoja
10. Athuman Idd a.k.a Chuji(japo sifahamu maana ya Chuji)
11. Maneno Osward a.k.a Mtambo wa Gongo
12. Mzee Mwinyi a.k.a Ruksa
13. Pinda a.k.a Mtoto wa Mkulima(japo sina uhakika kama anajua ata kushika jembe)
14. Ngeleja a.k.a Mzee wa Megawati
15. Wassira a.k.a Tyson (big up sana aliyeasisi ili jina)
16. Salum Kabunda a.k.a Ninja (uyu ndio alikuwa ananipa tafsiri halisi ya beki asifiwi)
17. Aspen a.k.a Mzungu Kichaa
na zinginezingine
kuna watu huwa natafuta sana A.k.a zao hadi leo sijazijua mtu kama Shibuda,Meya wa Dsm,Sitta,Mnyika,Mkapa,Makamba kwa azijuaye azitupie hapa..
Pia kama kuna a.k.a unavutiwa nayo basi itupie nasi tuione uku tunafungafunga mwaka ivyo..