A good start for CHADEMA MP's

suamakona

Member
Oct 31, 2010
12
1
Thumb up guys for the standpoint on what you think its right. Tuko pamoja nanyi on this ila muendelee hivyohivyo na msimamo msije mkapewa vikamati huko bungeni mkasahau kilichowapeleka kwa kuonjeshwa vijisenti vya serikali.
 
Mbunge mmoja wa Chadema (eg Lissu) ana-worth 50 wa CCM, katika kusimamia masilahi ya nchi. Ukweli ndo huo. Chukulia kwa mfano lile rundo la Wabunge kutoka Zanzibar. Nini faida yao kwa umma wa Watz walio masikini?
 
Mbunge mmoja wa Chadema (eg Lissu) ana-worth 50 wa CCM, katika kusimamia masilahi ya nchi. Ukweli ndo huo. Chukulia kwa mfano lile rundo la Wabunge kutoka Zanzibar. Nini faida yao kwa umma wa Watz walio masikini?


Zak we vipi? mbona unashusha kiwango?

Uwezo wa Lissu ni sawa na Wabunge wa CCM 100.
 
Kuna uwezekano wabunge wengine wakaukataa uwaziri kwa kuogopa challenges za wapiganaji wa CHADEMA. Hawa jamaa wana msimamo imara sana. Jana yasingekuwepo madesa spika alikua anatia aibu pale
 
sisiemu wanaweza tu maamuzi ya kishindo sio kwa mantiki, kanuni na sheria zinazoongoza. Huo si ushabiki wa mpira.
 
Tunataka wabunge wa CCM vilaza waogope hata kuuliza swali just ku mu impress spika. Na mawaziri nataka kipindi hiki majibu ya jumla jumla kutoka kwa mawaziri yakomeshwe. Taifa mbele kwanza
 
Back
Top Bottom