Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
Wanajamvi kwa jinsi wenzetu wanavyojua kuwajibika kutokana na uzembe unaotokea chini ya mamlaka zilizo chini yao, waziri wa ulinzi wa cyprus costas papacostas amejiuzuru mara moja kutokana na kulipuka kwa ghala silaha kali. Mlipuko huo umeharibu hadi kituo cha umeme na sasa ni giza kama la uwanja wa taifa jana. Yakhe hussein mwinyi upo? Au unawaza urais 2015.