Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
wakuu wa kazi,
salamu kwenu......
awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kuwapa pole na swaumu.Naitambua swaumu na ugumu wake hasa wiki ya kwanza.
jamani eeh!mi katika pita pita yangu na ka uzoefu kangu ka kawaida nimewahi kusikia na KUSOMA makala fulani nikaona kitu cha ajabu kidogo....!
wenyewe wanasemaje,kwamba:
1)-kwenye mahusiano kuna ''kuzidiana'' kwa upendo kwa namna yoyote ile kwa wapendanao.i mean katika wawili wapendanao kuna mmoja lazima anakuwa amemzidi mwenzie UPENDO kwa kiwango chochote...
2)-kwa kuiangalia hoja namba moja(1) tajwa hapo juu,wao wamedadavua kwamba hilo swala la kuzidiana kwa level ya upendo kumesababisha misuguano mi kubwa sana katika mahusiano kwa maana ya kwamba kuna mtu anaona ''hatendewi haki'' baina ya wawili hao
3)-kwa kuiangalia hoja namba mbili(2) tajwa hapo juu,wadau wametoa hitimisho kwamba KUNA AINA FULANI YA KUZIDIANA UPENDO NI VERY BIG MISTAKE.....''a fatal mistake''.kwamba a fatal mistake katika sense moja hivi kuwa kuna case moja inaweza kuwa kosa lakini bado mahusiano yakaendelea.....na kuna nyingine ni kwamba haiwezekani kabisa,mahusiano lazima yavunjike na imebatizwa kuwa ''FATAL MISTAKE''
sasa basi;WHICH OF THE TWO SITUATIONS BELOW COUD BE A FATAL MISTAKE?
-mwanaume kumpenda zaidi mwanamke kuliko hata unavyoweza ku-imagine?
-mwanamke kumpenda zaidi na zaidi mwanaume kuliko hata inavyostahili?
tujadili....
salamu kwenu......
awali ya yote napenda kuchukua fursa hii kuwapa pole na swaumu.Naitambua swaumu na ugumu wake hasa wiki ya kwanza.
jamani eeh!mi katika pita pita yangu na ka uzoefu kangu ka kawaida nimewahi kusikia na KUSOMA makala fulani nikaona kitu cha ajabu kidogo....!
wenyewe wanasemaje,kwamba:
1)-kwenye mahusiano kuna ''kuzidiana'' kwa upendo kwa namna yoyote ile kwa wapendanao.i mean katika wawili wapendanao kuna mmoja lazima anakuwa amemzidi mwenzie UPENDO kwa kiwango chochote...
2)-kwa kuiangalia hoja namba moja(1) tajwa hapo juu,wao wamedadavua kwamba hilo swala la kuzidiana kwa level ya upendo kumesababisha misuguano mi kubwa sana katika mahusiano kwa maana ya kwamba kuna mtu anaona ''hatendewi haki'' baina ya wawili hao
3)-kwa kuiangalia hoja namba mbili(2) tajwa hapo juu,wadau wametoa hitimisho kwamba KUNA AINA FULANI YA KUZIDIANA UPENDO NI VERY BIG MISTAKE.....''a fatal mistake''.kwamba a fatal mistake katika sense moja hivi kuwa kuna case moja inaweza kuwa kosa lakini bado mahusiano yakaendelea.....na kuna nyingine ni kwamba haiwezekani kabisa,mahusiano lazima yavunjike na imebatizwa kuwa ''FATAL MISTAKE''
sasa basi;WHICH OF THE TWO SITUATIONS BELOW COUD BE A FATAL MISTAKE?
-mwanaume kumpenda zaidi mwanamke kuliko hata unavyoweza ku-imagine?
-mwanamke kumpenda zaidi na zaidi mwanaume kuliko hata inavyostahili?
tujadili....