Mungu awasamehe hawajui watendalo....lkn watalipa
Ikiwa serikali ya Kikwete imehusika au haikuhusika ,basi Raisi Jakaya hana budi kujiuzulu kiungwana kabisa . Raisi awe Muungwana ajiuzulu bila ya tatizo lolote.Na hili litapokewa kwa ukunjufu kabisa.Ili kupisha uchunguzi
Kina nani? madoctor au?
"au" ndo asamehewe na Mungu?au.....
Yan haya ni mauaji kbisa na tunahitaji tamko la serikali kwa hili.
Kumbe ndio maana ya msemo wa liwalo na liwe.
Ikiwa serikali ya Kikwete imehusika au haikuhusika ,basi Raisi Jakaya hana budi kujiuzulu kiungwana kabisa . Raisi awe Muungwana ajiuzulu bila ya tatizo lolote.Na hili litapokewa kwa ukunjufu kabisa.Ili kupisha uchunguzi
Sio kama serikali kitendo hiki na cha serikali aambie umma kama yeye alijua au alijihusisha na huu mpango yeye na serikali yake waondoke hatufai tena. Hakuna Jambazi atakayemtaka Dr muda huu kwa lipi. Somebody has to pay TIME HAS COME ENOUGH IS ENOUGH, how long they will kill our people while standby looking. Is a time to stiffen our back and SAY NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOIkiwa serikali ya Kikwete imehusika au haikuhusika ,basi Raisi Jakaya hana budi kujiuzulu kiungwana kabisa . Raisi awe Muungwana ajiuzulu bila ya tatizo lolote.Na hili litapokewa kwa ukunjufu kabisa.Ili kupisha uchunguzi
"au" ndo asamehewe na Mungu?
If they wanted him DEAD, he'd be dead by now, na mngekuwa mnaongea mambo mengine kabisa.......probably, they still need him for something..........the big question is wat is it??
and kimtazamo wangu, 1st, wat has bin done to him isnt fair, Unless, he(ulimboka) framed it....najua kwa hili, wengi mtanilaumu, but mkisoma stories nyingi kama hizi, mtaona, ulimboka hatokuwa wa kwanza, kufake something like this, but FOR GOOD REASONS..............cause, seriously, kama wangetaka afe, angekufa longtym........
2dnly, killing one person for the benefit of two or more people, i find it reasonable................
mbona waniuliza majibu weye?vipi?
Maranyingi serikali ambazo huondolewa madarakani huanza na mambo ya kishetani kama haya! Makosa ya kishetani kama haya yanaigharimu serikali ya CCM, makosa kama haya yanawafanya watanzania waungane kuwa kitu kimoja kuupinga ufedhuli na uharamia wa aina hii usiomithilika abadani! TUMUOMBEE KAMANDA Uli apone! Malafyale kyala akusaje!