A day in the Buddhist college

Huyo mtu aliyekatwa kichwa baada ya damu kuisha huwa wanamla au wanamfanya nini?

Sijui kwakweli lakini mara nyingi kinachohitajika ni damu
Na pia moyo ubongo na via vya uzazi....mabaki mengine yote hayana faida kivile
 
Kama nilivyoona vilikuwa ni viungo vya maiti halisi za vichanga na watu wazima wale watu hawafai kuishi duniani......
.........
Ilifika muda wa ibada nikachukuliwa kwenda huko underground floor, kulikuwa kunatisha mno nikakaa sehemu ya wageni kwa juu kidogo kabla ya holini
Hall lilikuwa kubwa lililopakwa rangi nyeusi na taa zilikuwa nyekundu sana zenye mwanga mkali, madhabahu MSALABA wake uliangalia chini na kulikuwa na jeneza lililofunikwa kutambaa chekundu
Ukumbi ulikuwa na watu wasiopungua hamsini hivi wote wakiwa uchi wa mnyama,ulianza mziki wa heavy metals wenye sauti za ajabu mno kama zile za kuzimu

Heshima kwako mkuu,sina shaka siku hiyo nawe ulivaa vazi la kulalia(chukuchuku) kwekwekwe! dah dunia hii ni hatari, mungu atuepushe na hayo.
 
Hebu tuachane na hayo ya Satanism na turudi chuoni kwetu
Unajua meditation ukifanya vizuri huibua na kutoa sumu nyingi sana mwilini?
Ukiacha zile meditation za kawaida za kila siku, tulikuwa na meditation retreats za siku 3,5 na saba..hii kitu ni habari nyingine kabisa
Kwenye hizi retreats tulikuwa tunatumia Maji tu tena yale fresh na kula mara mbili tu tena chakula chenyewe ni wali wa kuchemsha tu bila chumvi wala mafuta na mboga mboga za majani nazo za kuchemsha na chumvi kwa mbali

Ukiingia kwenye aina hii ya meditation siku ya pili lazima upate homa na hata kutapika lakini hupewi dawa, ukiendelea siku ya tatu na ya nne homa inapotea lakini lazima uharishe sana na wengine kutoka mapele, bado hakuna dawa wala tiba
Ukiingia siku ya tano unaanza kuhisi hali tofauti kabisa ya kimwili na kimawazo, mwili unakuwa mwepesi, akili inatulia na unapata utulivu mkubwa sana mawazoni
Kwenye siku zote hizi wengine reaction huchelewa lakini wengine hawaharishi au kutoka mapele bali huwa kama wendawazimu lakini kadiri muda unavyoendelea yote huisha
 
Yeah hii ni statue ya Buddha mkuu

attachment.php
 
Naamini bwana Mshana jr anajua mengi kuliko anayoweza kutueleza ,uko deep sana
titimunda Unajua naandika kwa risk sana, naandikia watu waliojificha nyuma ya ID bandia hatufahamiani kabisa kwahiyo najitahidi sana kuchagua niandike nini ili mwisho wa siku mbele yenu nibaki mshana jr yuleyule
 
Last edited by a moderator:
1. wanasemaje kuhusu maisha baada ya kifo? 2. je wanasemaje kuhusu ngono(uzinifu)?, ni dhambi au starehe? 3. je kuhusu Mungu?
NAMTUMBA kwenye Buddhism hakuna maisha baada ya kifo kwakuwa wanaamini katika reincarnation, yaani maisha mengine mapya baada ya kifo
Ngono ni craving ni tamaa ya kihisia(sio kimwili) isiyo na faida bali hasara lakini kama ni kwa maana ya kuendeleza kizazi basi haina shida
3.Buddhism haiamini katika Mungu mkuu(The Almighty God), bali katika miungu- bodhisattva's
 
Last edited by a moderator:
NAMTUMBA kwenye Buddhism hakuna maisha baada ya kifo kwakuwa wanaamini katika reincarnation, yaani maisha mengine mapya baada ya kifo
Ngono ni craving ni tamaa ya kihisia(sio kimwili) isiyo na faida bali hasara lakini kama ni kwa maana ya kuendeleza kizazi basi haina shida
3.Buddhism haiamini katika Mungu mkuu(The Almighty God), bali katika miungu- bodhisattva's

Katika meditation,ni kitu gani"neno"hisia na kutafakari" kunakoweza kutumika kuamlisha jambo liwe na likawa?kutatua matatizo au kujipatia maendeleo ya kiuchumi kupitia meditation? Hapa namaanisha ni njia zipi za kuzingatia ili kuvuka sehemu moja kwenda nyingine kwa nguvu binafsi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom