Optimistic Soul
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 204
- 21
jaman hakuna spare za mbavu atii, nimecheka sana, big up wakuu endeleeni kutuburudisha mtabarikiwa
....yesu na maria..........inawesekana kabisa aisee!JAY Z;Mchungaji,mbwa wangu kafa,je inawezekana mkamsomea misa ya mazishi. .............C'mon mlete inawezekana kabisa.
Kabla ya kupanda kilimani kwa ajili ya sala,yesu aliwaambia mitume wake wabebe jiwe moja moja kisha wapande nalo mpaka juu kilimani.Mitume walibeba mawe ya ukubwa mbali mbali isipokuwa Yuda.Yuda alibeba jiwe dogo ukubwa wa punje ya harage.Baada ya maombi,Yesu akayabadili yale mawe kuwa mikate na kila mtume akala mkate unaoendana na ukubwa wa jiwe alilobeba.
mume:hivi unauhakika mimi ndio mwanaume wa kwanza kulala na wewe.mke:ndio hao wengine waliotangulia ilikuwa ni shughuri tu hakuna kulala hadi asubuh.
>>>Wanafunzi watatu wa chuo fulani badala ya kujiandaa na test walienda ku-party maeneo fulani usiku kucha.Siku ya test ilipofika kwa sababu hawakusoma wakaamua wabuni mbinu ya kujitetea.Walijipaka oil na grease mikononi na miguuni na nguoni kisha wakaenda kumwambia profesa kwamba gari yao ilipata pancha hivyo walihangaika na gari usiku kucha na hapakuwa na usafiri mwingine.Jamaa wakamwomba prof awatungie paper yao siku nyingine kwa sababu hawakujiandaa.Prof alikubali,akawapa siku 3 za maandalizi.Ilipofika siku ya paper,prof aliwagawa kila mmoja na chumba chake.Mtihani ulikuwa na maswali mawili tu. [1]Jina lako ni nani? [2]Tairi lipi lilipasuka? (a)mbele kushoto, (b)mbele kulia (c)nyuma kushoto (d)nyuma kulia.