telitaibi
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 551
- 106
Una lako ww..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
umeonaa hee kuwa mpole
Una lako ww..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Why...?
Usipochagua kuoa/kuolewa napo utakuwa umechagua wife/husband?
Wangu mambo? Mzima?
Sasa Kiranga anauliza maswali magumu na mwenye thread sucked his data out of his thumb,
nikaona niokoe thread kwa kutoa a simple answer.
Usipooa wala kuolewa ilhali kila kiungo kinafanya kazi,
ni dhambi kwa Mungu!utaenda motoni!
Oh!:shock: (offended)!You are very polite.
Wengine wangesema data ame pull out of his a*s, maana ziko ki bs bs hivi.
Kama hutaki kuoa basi itumikie eklezia.Kwa hiyo Yesu kaenda motoni? Na wote tunaotaka kufuata mfano wake tutafanya dhambi na kuishia motoni?
Pamoja na Papa na watawa wake wote?
Oh!:shock: (offended)!
Kama hutaki kuoa basi itumikie eklezia.
Hao ulowataja waliitumikia/unda eklezia.
Kama ni mwislam, basi oa, at least mmoja
Kama hutaki kuoa jiandae kwenda motoni
Huko unakufa na kiu, ukiomba maji unapewa usaa.
Bwahahahaha
As for me, natafuta mchumba on meetic,
nikikosa nitaleta thread hapa JF next month
Utakutana na vibwetere huko, shauri yako.
Mie nishaanzisha eklezia yangu kitambo mbona, mpaka na msahafu.
Nipe address ya kanisa yako nije.
Kumbe? Nami nipo saint peter's church hapa juu kidogo.Mie niko 41.902325 N, 12.455256 E
Kumbe? Nami nipo saint peter's church hapa juu kidogo.
Next Sunday nitapita kusikiliza mawaidha yako nione kwanza
Sirius is my fave star, you know that! lolMawaidha yangu yana rituals lakini. Shurti nikukatekista kisawasawa.
Halafu kuna bonge la chalice la ubani kufukiza huku tunaangalia disorientation of Osiris, or Sirius, seriously.
Kiranga huyo Osiris ni yule wa pagan trinity ya Horus na Isis au huyo mwingine?