90 days at GREEN ACRES SEC SCHOOL

Mkuu ashakum si matusi,hapa sio kwenye lecture au kwenye mtihani,its like ur writing a text message. Hakuna kujali sana grammar.Pamoja na hvyo angalia thread yangu nimetumia kasimu kangu ka mchina sijatumia pc thats why some of writing rule are bleeched.Mi mwl mahili ndani ya rock city nimeamua kurudi nyumbani baada ya shuruba pale green acres.

mwambie huyo
 
Nimekupata mkuu, nilijaribu kuangalia upande wa pili wa shillingi,je kama wangekubalimaombi yako ungekuja kutoa malalamiko?

Umetusaidia sana mkuu kwa habari na tunashukuru sana kwa kucheza "Mourhino" style lol.
Mkuu wenger,wangekubali maombi yangu ningelalamikia mambo mengine kwa sababu nimetaja mambo kadhaa ambayo hayaendi sawa.Kwa great thnkers lazima nije kupata ushauri na maoni mbalimbali,mi inaniuma kuona taaluma niliyosomea inadhalilishwa
 
Hivi wewe Mwalim kweli? au uliingilia tu kazi za watu? Tazama ulivyoandika, spellings unakosea, hujui pa kuweka "coma" wala "full-stop", uandishi wenyewe hohehahe! ama kweli, shule zimeingiliwa. Ni aibu wewe kusema kuwa u Mwalim.
Mdada wewe ovyo, kwanini unapenda kupondea wenzako kwa mambo ya ovyo ovyo, kiswahili hakuna "mwalim" ni "mwalimu" kama kiarabu sawa
 
Mkuu ashakum si matusi,hapa sio kwenye lecture au kwenye mtihani,its like ur writing a text message. Hakuna kujali sana grammar.Pamoja na hvyo angalia thread yangu nimetumia kasimu kangu ka mchina sijatumia pc thats why some of writing rule are bleeched.Mi mwl mahili ndani ya rock city nimeamua kurudi nyumbani baada ya shuruba pale green acres.

Kwa jinsi unavyoandika, kama ni Mwalim sijui hao wanafunzi wako wakoje? Ee Mola wangu niepushie wanangu kufundishwa na Mwalim huyu.
 
Hivi wewe Mwalim kweli? au uliingilia tu kazi za watu? Tazama ulivyoandika, spellings unakosea, hujui pa kuweka "coma" wala "full-stop", uandishi wenyewe hohehahe! ama kweli, shule zimeingiliwa. Ni aibu wewe kusema kuwa u Mwalim.

Sio kosa lake hakusoma MIS computer kwenye vyuo vya serikali enzi hizo zilikuwa hakuna
 
Hivi wewe Mwalim kweli? au uliingilia tu kazi za watu? Tazama ulivyoandika, spellings unakosea, hujui pa kuweka "coma" wala "full-stop", uandishi wenyewe hohehahe! ama kweli, shule zimeingiliwa. Ni aibu wewe kusema kuwa u Mwalim.

mbona na wewe umekosea unaandika Mwalim unasahau kuweka u mwishoni wewe ni bongolala kabisa
 
kuhusu wanafunzi kulazimishwa kusoma,huoni watoto wa shule za kifungilo wanafaulu sana kwa sababu kusoma ni ratiba? ma-genius wako huko st gvt,mwaka mzima hakuna mwalimu wa chemistry na genius anaruka na C (a-level0, na kwa o-level B inapatikana tu kwa madaftari ya washkaji!

Wanikumbusha nilivosoma o-level. Walimu wa chemistry, physics na biology tuliwaona ile wiki ya kuelekea mtihani wa taifa (hatukuwa nao kipindi chooote cha mwaka mzima wa kidato cha pili)
 
Back
Top Bottom