Mkuu ashakum si matusi,hapa sio kwenye lecture au kwenye mtihani,its like ur writing a text message. Hakuna kujali sana grammar.Pamoja na hvyo angalia thread yangu nimetumia kasimu kangu ka mchina sijatumia pc thats why some of writing rule are bleeched.Mi mwl mahili ndani ya rock city nimeamua kurudi nyumbani baada ya shuruba pale green acres.
mwambie huyo