124
Member
- Nov 9, 2011
- 12
- 3
Kwa wana Gwamba wote Bado Tunazikumbuka ahadi zetu?
- Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja
- Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote
- Nitajitolea nafsi yangu kuondoa ujinga,magonjwa na dhuluma
- Rushwa ni adui wa haki,Sitapokea wala kutoa rushwa
- Cheo ni dhamana,sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu
- Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote
- Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu
- Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko
- Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.
Wanawakumbushieni! Chadema.