Mfwatiliaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,323
- 67
Samahani kwa kudisrupt mada.S&DsL nashukuru kwa ushauri wenu,na dk wangu amenisaidia pia.
I was sober ktk matukio niliyoeleza awali ila ilibidi niwashughulikie baada ya kuona wanataka niwape hongo.I am not ready to buy my rights,not at all, because I know them.Siwezi kuuza uhuru wangu hata siku moja.Wakuu wao walinielewa sana kama mdau makini na ndiyo maana waliyazima haraka.
Back to the topic ni kwamba huyu AY ni nyoka na hatutakiwi kumpa nafasi ya kutema sumu yake tena, hata kama ni Afroamerican..to hell.Hatumtaki kabisaaa kwenye society yetu!Possibly is W.Africa descendant maana amefanya mengi ukanda huo.Hao watu nimewahi kuishi nao, but everybody has to be extra careful because they are not reliable at all.Nadhani wengi mnajue au mmesikia vituko vyao sehemu mbalimbali za dunia. Binafsi nilikuwa nahakikisha passport iko mwilini mwangu punde walipotembelea kwangu maana ilikuwa moja ya target zao siku hizo.
Ninaanza kujiandaa namna ya kum-boycott huyo AY hapo Arusha.
Mungu anijalie uzima.
Nilikuwa najiuliza kulikoni, mbona viongozi wengine kutoka Africa wamekataa mwaliko wa kuhudhuria hiyo summit.Nahisi walishtukia kuwa hilo ni bomu.
Hii issue ya ndugu zatu kufukiwa live imeniuma sana.Siku zile Mrema akisumbuliwa sikuweza kuelewa uzito wa madai yake maana hoja ilitekwa na kupewa sura ya uchochezi dhidi ya serikali ili kutoa negative perception kwenye society.
But no way, hii kitu lazima tuifufue upya.Huu unyama tuukatae kwa nguvu zote.Hawa ndugu zetu waliofukiwa kikatili inabidi tutumie means tuwafukue!Tunaweza!!With all evidence, we can look forward towards justice.Inaniuma sana kwa kweli.
I was sober ktk matukio niliyoeleza awali ila ilibidi niwashughulikie baada ya kuona wanataka niwape hongo.I am not ready to buy my rights,not at all, because I know them.Siwezi kuuza uhuru wangu hata siku moja.Wakuu wao walinielewa sana kama mdau makini na ndiyo maana waliyazima haraka.
Back to the topic ni kwamba huyu AY ni nyoka na hatutakiwi kumpa nafasi ya kutema sumu yake tena, hata kama ni Afroamerican..to hell.Hatumtaki kabisaaa kwenye society yetu!Possibly is W.Africa descendant maana amefanya mengi ukanda huo.Hao watu nimewahi kuishi nao, but everybody has to be extra careful because they are not reliable at all.Nadhani wengi mnajue au mmesikia vituko vyao sehemu mbalimbali za dunia. Binafsi nilikuwa nahakikisha passport iko mwilini mwangu punde walipotembelea kwangu maana ilikuwa moja ya target zao siku hizo.
Ninaanza kujiandaa namna ya kum-boycott huyo AY hapo Arusha.
Mungu anijalie uzima.
Nilikuwa najiuliza kulikoni, mbona viongozi wengine kutoka Africa wamekataa mwaliko wa kuhudhuria hiyo summit.Nahisi walishtukia kuwa hilo ni bomu.
Hii issue ya ndugu zatu kufukiwa live imeniuma sana.Siku zile Mrema akisumbuliwa sikuweza kuelewa uzito wa madai yake maana hoja ilitekwa na kupewa sura ya uchochezi dhidi ya serikali ili kutoa negative perception kwenye society.
But no way, hii kitu lazima tuifufue upya.Huu unyama tuukatae kwa nguvu zote.Hawa ndugu zetu waliofukiwa kikatili inabidi tutumie means tuwafukue!Tunaweza!!With all evidence, we can look forward towards justice.Inaniuma sana kwa kweli.