Wakumbwa,
Sasa hivi nipo online na 89.5, Jamaa wananikumbusha mbali sana enzi za Dar Jazz - tumemaliza ngoma inayoibwa " Bwana mashaka....... acha kulalamika....kama amekushinda mrudishe kwao...."
Jamani wenye viredio maofisini wekeni tujikumbushe enzi zetu, wakati huo hakuna mgawao wa umeme, hakuna ukimwi, hakuna foleni, hakuna matapeli, yaani maisha yalikuwa swafiii......
tuendelee kujikumbusha..... Sasa hivi inapigwa Makiwa.....
Nimekubalii........yanayosemwa na watu.....wanaopendwa na wengi siku zote hufa wangali vijana........chiku wangu weeee....chiku wangu daima nitakukumbuka......chiku wangu eeee kalale pema peponi...... tararaaaaaaa taraaaa.....
Sasa hivi nipo online na 89.5, Jamaa wananikumbusha mbali sana enzi za Dar Jazz - tumemaliza ngoma inayoibwa " Bwana mashaka....... acha kulalamika....kama amekushinda mrudishe kwao...."
Jamani wenye viredio maofisini wekeni tujikumbushe enzi zetu, wakati huo hakuna mgawao wa umeme, hakuna ukimwi, hakuna foleni, hakuna matapeli, yaani maisha yalikuwa swafiii......
tuendelee kujikumbusha..... Sasa hivi inapigwa Makiwa.....
Nimekubalii........yanayosemwa na watu.....wanaopendwa na wengi siku zote hufa wangali vijana........chiku wangu weeee....chiku wangu daima nitakukumbuka......chiku wangu eeee kalale pema peponi...... tararaaaaaaa taraaaa.....