Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
EL kaamua kuchukua maamuzi magumu kwa kuuanika ukweli wa mambo hadharani. Hata hivyo naona kama kachelewa sana kuonyesha juhudi zake za kujisafisha. Hata hivyo kwa kuonyesha kuwa gamba lake halina ukurutu nampa zawadi ya ushindi kwa 85% Namkata 15% kwa kosa la kuujua ukweli na kukaa kimya. Kazi kwako gamba mkuu wa magamba!