Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,833
- 16,690
Hi out there, salam salamWote tunajua, ila natia msisitizo na kukumbushana, hata (m)wanawake wanajua sana tu, wanapotembea au kupishana na wanaume au awapite (m)wanaume, huangaliwa kwa nyuma zaidiii, hasa makalio, na utaona demu mnapishana atajua tu anaangaliwa kwa nyuma, sasa awe na wowowo, ni balaa, macho yote = nyuma yake, kama mzoefu kwa mambo ya wakubwa avae transparent hivi, hata ukiwa na demu wako utajidai kamba ya viatu imelegea uiname umcheki kwa nyuma, kumbe uzuri mwingi wa mwanamke utaujua ukimcheki kwa nyuma basi, hasa makalio, je yupo flexible, rigid, makalio na kiuno huzungumza mengi sana kuhusu mwanamke,nimesikia wengine wanaweka ya bandia, ila akiwa na mtikisiko usiseme, karibuni