7 percent ya Mass. marriages, inatisha!

BELINDA,
Sorry, nilichomaanisha ni kwamba, Mungu alimuumba binadamu na kumaanisha marriage iwe kwa opposite sex.Hayo ndo maumbile niliyozungumzia.
Its realy shocking my dear.

Asante kwa marekebisho,nimekupata vizuri sasahivi kwa maelezo yako.
NB: Don't be shocked for the rest of your life, ha ha!..
 
Kuna mji unaitwa Brighton UK ukifikaufukweni wakatiwa summer utakayoyaona kama huna moyo na kifua utakuwa na mawengewenge siku zote za maisha yako humu duniani. Maana afadhalia SODOMA ya katika Biblia Hapa S. O. D. M. A. Kila kitu live ufukweni bila hiana wala kinyaa. Mbaya zaidi a kina weusi wa A frika wamegundua ni biashara poa utakuta tetracycline kila kona ya ufukwe watu wakijambos!!! MAN 2 MAN!!! Makazini ni bora umseme vibaya mtu yeyote lakini asiwe ****** Kibarua kinaota majani dakika hiyohiyo!!! na ikiwezekana mahakamania then kifungo. They are protected na wa na power kwelikweli.
mkuu hio kazi yake nini?
 
Hapa Bongo haya mambo yapo,au tumewasahau akina Aunt Moody,Aunt Kessy na wengineo, vipi nyumba nthobu kule Tarime vipi? Tofauti na kwa wenzetu huko ni publicity ya jambo lenyewe. Huku ni aibu kwa mhusika na familia yote lakini huko ughaibuni ni haki za binadamu.

Sijafika Marekani lakini kijiweni jamaa huwa anatupa story eti mtoto mdogo ukimnyima ruhusa kwenda disco basi anakupeleka polisi. Mambo ya maadili na haki za binadamu zinatofautiana toka jamii moja na jamii nyingine.

Vipi hiyo Sodoma ikifanywa kule Iran?
 
Back
Top Bottom