60 computers have been stolen at Sokoine University




sikatai kwamba hakuna computer za ovyo ovyo zinaletwa kama 'misaada'. Kuna kundi la wasanii na wengi ni wenzetu wanaofanya haya ili kujipatia cheap popularity.


kama ushirombo alivyosema, hizi ni ibm computers sio zile wanaziita clone.
Computer zilizo cafe ziko slow kwa sababu kadhaa, mojawapo ni virus au ni clone pc (zile zisizo hata na brand name)




.

sasa powersupply ya ibm ikifa utaipata wapi au hiyo compaq ? Moja kwa moja hupati labda uagize kutoka huko huko na itakuwa gharama sana ungekuwa na clone then powersupply yake ziko mjini zimejaa tele , unaweza kutengeneza clone pc ikawa fast kuliko unavyotegemea wewe , nyingi za cafe wanatumia cytrix mainboard ambazo ni sawa na p3 tu
 
kwahiyo ni heri wasiwe nazo kabisa? Hao walioiba spare wataizoa wapi? Ama mzee ni umeshiriki wizi huo, maana jana kulikuwa na thread ikionyesha wewe hujihusisha na hayo mambo?

wengi wanaoiba sio watumiaji wa hizi nao wanaenda kuuza au utakuta ni prof mmoja amefanya mambo anapeleka nyumbani kwake na kwa ndugu zake na mingi utakuta imerundikwa tu haifanyi kazi wala nini tusitake kudanganyana

ushorombo sijui uko dunia ya ngapi shuke hapo mjini dar es salaam nenda katika maduka ya computer halafu angalia mali zilizozokwepo halafu fananisha na hiyo mada hapo juu nakupa mfano wa maduka


- mitsumi
- qprint
- prince
-mzizima
-orchards
-vista ( ubungo )
-quantium ( op haidery plaza )
- alpha ( hidery plaza )
- comptronix ( samora ila laptop zao nyingi za wizi na vingi ni second hand wanaosha tu )
-ideal computers ( morogoro road )

lionchina computers ( kisutu ) hapo ndio utakuta hizo p3 ingawa sasa wameshazimalima maliza
 
Lazy dog mimi nipo sokoni kwahiyo najua jinsi hivyo vitu vinavyotumika kuuzwa na kadhalika hapo p3 mfano memory yake ya 256 sdr kwanza huzipati ni duka moja tu wanauza tena kvd bei yake ni kuanzia alfu 50 wakati ungekuwa na duo core kwa hiyo alfu 60 unapata 1gb ya ram ddr2 , p3 mainboard zake hakuna sasa hivi , ukija katika duo board zake zinaanzia alfu 60 mpaka laki moja inategemea unataka aina gani , ukija katika hdd hizo za duo nyingi wanatumia sata harddrive ya sata ni alfu 40 mpaka 50 kwa 80 gb wakati ide ambayo ndio hiyo p3 kwanza hazipo sana kama ukipata ni kuanzia alfu 60 kwa 40 gb tena nyingi zimetumika

nenda sokoni ukaone mambo sio unaongea tu ulimradi

kwahiyo hao watu wanaotoa misaada kama hiyo siku nyingine wapigwe marufuku kutuletea mizigo hiyo halafu unakuta wanaweka operating system ambayo sio genuine -- sasa hizo computer 60 waaamue kununua genuine operating system



Kwani unadhani kuna haja ya ku-replace motherboard ya PIV kama ikifa? How often does the motherboard dies anyway? HDD pia hazifi haraka, na ikifa hakuna haja ya kununua mpya. Hiyo machine itawekwa pembeni vifaa vyake (motherboard, RAM, Power supply, Fans, CPU, Keyboard) vitumike ku-repair machine nyingine ikifa.

Kwenye RAM ni tofauti. Kwa umeme wetu ulivyo, RAM inaweza kufa hata kabla mwaka haujaisha.




.
 



kwani unadhani kuna haja ya ku-replace motherboard ya piv kama ikifa? How often does the motherboard dies anyway? Hdd pia hazifi haraka, na ikifa hakuna haja ya kununua mpya. Hiyo machine itawekwa pembeni vifaa vyake (motherboard, ram, power supply, fans, cpu, keyboard) vitumike ku-repair machine nyingine.

Kwenye ram ni tofauti. Kwa umeme wetu ulivyo, ram inaweza kufa hata kabla mwaka haujaisha.




.


watanzania ndivyo mlivyo sasa kama huyo ni client wako ndio utamweleza hivyo ? Moja ikifa vifaa vyake vitengeneze ingine ? Hiyo ni chuo kikobusy wanahitaji kufanya kazi muda wote na wakati wowote

wewe vipi bwana kama huna la kusema kaa kimya
 

I have been informed that more than 60 used computers which were donated by donors to Sokoine University in August this year to help in teaching and training at different faculties and institutes within the university have been stollen from Mazimbu campus last week. The stollen computers were Compaq, Dell and IBM machines Pentium III and Pentium IV.


Ushi Wa Rombo


A Blessing in Disguise!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom