51% ya wabunge wa JMT hawana shahada [Degree]

Having said all that I have said.

I want to emphasize kwamba, kama nilivyosema mwanzo, sitetei ujinga.

Wabunge wetu wenye degree tu ni vituko.

Sasa ndio maana wakuu wanaona bora watumie rule of thumb tu kuwatenganisha "the sheep from the goat" kwa kutumia degree, kitu ambacho si sawa.

Ila ukweli ni kwamba wabunge wetu wengi- degree or not- hasa wale walioibuka ibuka tu bila kupata world class exposure, wanatia kichefuchefu.

Mtu unaweza kuwa unasikiliza mchango wa mbunge ukaamua kuflip channel au kuzima redio.

Kwa sababu hata ukiondoa swala la substance, presentation tu tabu unamsikiliza mtu ana meander ovyo kama an inexperienced teenager unexpectedly exposed infront of a massive crowd.

We ma experienced lawyers walio graduate toka 1975 huko kina Mizengo Pinda, wamekaa usalama wa taifa na ikulu wakaenda kuwa wabunge na mawaziri all those years tunasikia wanavyochemka kila siku.

I shudder to equate degrees and usomi. Kwa sababu hao kina kabwela ndo itakuwa ajabu. But that need not be reduced to a rule of thumb.There is always an outlier.

And we don't want to be so simplistic to dishearten the occassional brilliant Mnyika sans degree.


msingi sio kujima wananchi nafasi au haki ya kuongoza.
tujiulize pia, kuweka umri kulilenga nini?
wakati sheria inatamka walau darasa la saba haikubagua watu? by then wananchi wote walikuwa wamefikia std 7? au wote walikuwa wanajua kusoma na kuandika?
wenye degree walikuwa wangapi?
sasa hivi tuna mazingira gani?
kipindi kile tulikubali walimu wa upe,tukaja div 4 ndio ufaulu wa kwenda kusomea ualimu, sasa tunataka wanaosoma ualimu wawe wamefaulu vizuri... kama tunaamin katika hayo, kwa nini tusiaminikuwa kuwa na mbunge msomi kuna nafasi kubwa ya kuwa na ufanisi kuliko kuwa na akina TALL WATER?
 
msingi sio kujima wananchi nafasi au haki ya kuongoza.
tujiulize pia, kuweka umri kulilenga nini?
wakati sheria inatamka walau darasa la saba haikubagua watu? by then wananchi wote walikuwa wamefikia std 7? au wote walikuwa wanajua kusoma na kuandika?
wenye degree walikuwa wangapi?
sasa hivi tuna mazingira gani?
kipindi kile tulikubali walimu wa upe,tukaja div 4 ndio ufaulu wa kwenda kusomea ualimu, sasa tunataka wanaosoma ualimu wawe wamefaulu vizuri... kama tunaamin katika hayo, kwa nini tusiaminikuwa kuwa na mbunge msomi kuna nafasi kubwa ya kuwa na ufanisi kuliko kuwa na akina TALL WATER?

Usichanganye mawili yaliyo tofauti.

Kuwapa nafasi wananchi wote kugombea ubunge sio kutoamini kuwa na mbunge msomi kuna nafasi kubwa ya kuwa na ufanisi.

You are almost accusing people who do not believe in curbing further the requirements for contesting electoral positions of some Pol Pot like plot of anti-intellectualism.

Kama umesoma set theory, ukiwapa nafasi wananchi wote - well wote kwa definition ya kikatiba ya wanaoruhusiwa kugombea uongozi kwa kufikisha miaka etc- unawajumuisha wasomi. Unaacha wananchi wachague wenyewe.

Usomi huu wa degree si lazima uwe kipimo cha ufanisi kwa sababu tumeona watu kama kina Andy Chenge wamefika mpaka Harvard, wametuaibisha tu. Kwa hiyo inawezekana kabisa "msomi" kama Chenge asiye na maadili akapata mpinzani ambaye hana degree lakini ana moyo wa kufanya kazi ya watu. Tusimnyime huyu mtu asiye na degree nafasi ya kufanya kazi ya watu kwa sababu tu hana degree, tumpe nafasi. Kama kuna mambo mengine, waachiwe wananchi kuchagua.

Halafu kitu muhimu zaidi ya vyote ni kuongeza kiwango cha jumla cha elimu cha wananchi.

Kwa sababu hata ukisema viongozi lazima wawe na Ph.D wote, kama wananchi hawana elimu na muamko hawa hawa viongozi watakuwa hawana haja ya kukaa ndani ya mstari.

Watajiona "sie tumesoma, tutawadanganya tu hawa wananchi".

Kwa hiyo mnapo focus kwenye kuweka vikwazo vya kielimu kwa viongozi bila kuangalia elimu ya wananchi mnajidanganya, kwa sababu kwanza kama tulivyosema mwanzo, elimu haipimwi kwa degree, na pili dhana nzima ya kuangalia maendeleo yatoke juu kuja chini, mambo yaanzishwe na viongozi ndo yatiririke kwa wananchi ni dhana iliyopitwa na wakati.

Cheo ni dhamana, viongozi ni custodians tu, wenye nchi yao ndo wanatakiwa kufuatilia mambo kwa ukaribu.

Na kama wenye nchi hawa hawana elimu, we know how power corrupts and we have vivid examples of gross abuses in our own country to render any dreams of a benevolent leadership invalid.
 
ASILIMIA 99.9 YA WABUNGE WA CDM WANADEGREE MBILI,ASILIMIA 99 YA WABUNGE WA CCM HAWANA HATA DEGREE MOJA,ASILIMIA 80 YA WABUNGE WA CUF HAWANA DEGREE.

ASILIMIA 99.9 YA WABUNGE WAKRISTO WANA DEGREE ,ASILIMIA 99.9 YA WABUNGE WAISLAM HAWANA HATA DIPLOMA


ASILIMIA 99 YA WABUNGE KUTOKA ZENJI WAMEMALIZA MADRASATUL TUU HAWAJUI HAT FORM ONE nI NINI

mi nilidhani mchangiaji kumbe masaburi kafyatuka, hapo kwenye RED na BLUE unamaanisha nini kama sio fikra Mgando? Tukiwa na watanzania 1000 kama wewe bora nihame nchi
 
Wabunge ni wawakilishi wa wananchi hivyo ubunge si kazi ya taaluma.Inabidi tujiulize kwanini bunge letu limekuwa dhaifu,kwanini bunge letu kila siku linajiongezea posho.Lakini kabla ya kujiuliza hivyo tujikumbushe hivi wakati bunge letu lilipokuwa na wasomi wachache kulikuwa na madai ya posho kama sasa hivi.Ndio maana sasa hivi daktali,maprofesa na wasomi wengine wanaacha taaluma zao kukimbilia bungeni na sasa hivi ukikutana na vijana wengi waliomaliza vyuo wanaingia kwenye siasa ili waweze kuingia bungeni si kwa ajili ya kutetea wananchi bali kwa ajili ya kupata mafao manono ndio maana sasa hivi wananchi wa hali ya chini wanakosa utetezi wa ukweli.Lula Dasilva hakuwa na elimu lakini bado ni kiongozi ambaye ameipatia Brazil mafanikio makubwa kiasi inadai ipewe kiti cha kudumu UN.Kama mnataka wabunge wawe na degree basi na wapigakura pia wawe na elimu kama hiyo.Mzindikaya pamoja na kuibua mabomu hakuwa na elimu kubwa ingawa baadae alipewa udaktari wa heshima.Elimu inaweza kukuongezea baadhi ya vitu lakini uongozi ni kipaji anachozaliwa nacho mtu.Mkijilinganisha na watu kama uingereza angalia wapo watu wangapi na wana vyuo vingapi.Pia kwa wale waliohudhuria usaili wa watu toka nje hawaulizi vyeti kwanza wanakufanyia interview baadae vyeti.Kusoma sio kujua kila kitu
 
Hatuhitaji kubagua watu wenye elimu ya kawaida lakini pia ni ukweli usiofichika kuwa Elimu haiwezi kubezwa kama tunataka kuendelea. Tatizo la baadhi ya wasomi kushindwa ku deliverer ni sawa na wale wasio na elimu ambao pia wanashindwa ku deliver. Wananchi tuna nafasi mbili kubwa katika hii hoja: 1. Katika kupendekeza sifa za wabunge kwenye marekebisho ya katiba 2. Wananchi wanapofanya maamuzi ya kuchagua Mbunge anayefaa ambapo si tu kuwa huwa wanaangalia kiwango cha elimu bali sifa nyingine nyingi.
 
Back
Top Bottom