Habari zilizonifikia hivi punde zinasema,
Wafanyakazi wengi wa serikali hawajapata mshahara mpaka sasa, Jamaa alisema ! This month gona be disasta, si unajua Hazina walipitisha malipo ya kila idara kusheherekea miaka 50 ya uhuru kivyake vyake, na pesa nyingi inatakiwa kwa ajili ya tar 9, so sijui itakuwa vipi maana mpaka sasa fungu la mshahara halijatawanywa!
Wafanyakazi wengi wa serikali hawajapata mshahara mpaka sasa, Jamaa alisema ! This month gona be disasta, si unajua Hazina walipitisha malipo ya kila idara kusheherekea miaka 50 ya uhuru kivyake vyake, na pesa nyingi inatakiwa kwa ajili ya tar 9, so sijui itakuwa vipi maana mpaka sasa fungu la mshahara halijatawanywa!