ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 141
Airtel wana 3.75
3.75 ukikadiria si unapata 4g mkuu??
Airtel wana 3.75
3.75 ukikadiria si unapata 4g mkuu??
Ki uhalisia hakuna 3.75G. Hiyo 3G tuuu. Ila smile wanayo 4G Lte. Na wanatumia simcard katika modem na router zao.
Hakuna Haja ya kuhamia 4G wakati hiyo 3G yenyewe bado hatujatumia katika kiwango chake cha juu, 3G amapo huenda mpaka 3.75G inaweza kutoa hadi 28Mbps sawa na 3.5MBps kwa kudownload na 22Mbps sawa na 2.75MBos kwa ku upload, kwa speef hiyo hatuna haja ya kutafuta hizo 4G,
Binafsi sijawahi tumia service za smile ila kwa taarifa tika kwa wanajamii walio tumia eg. leh , speed ni nzuri lakini haina hadhi ya 4G LTE
Sent from my GT-I9505 using Tapatalk
Smile zidhani kama wanatoa huduma ya simu though, hata SIM card sina uhakika kama wanatoa. So haiwekeki kwenye simu hiyo 4G yao, pia nina wasiwasi kama spidi unayopata ni actually 4G, ni kama kuunga bomba kubwa nyumbani kisha kupitisha matone ya maji.
Hakuna Haja ya kuhamia 4G wakati hiyo 3G yenyewe bado hatujatumia katika kiwango chake cha juu, 3G amapo huenda mpaka 3.75G inaweza kutoa hadi 28Mbps sawa na 3.5MBps kwa kudownload na 22Mbps sawa na 2.75MBos kwa ku upload, kwa speef hiyo hatuna haja ya kutafuta hizo 4G,
Binafsi sijawahi tumia service za smile ila kwa taarifa tika kwa wanajamii walio tumia eg. leh , speed ni nzuri lakini haina hadhi ya 4G LTE
Sent from my GT-I9505 using Tapatalk
Bongo 4G ipo isipokua gharama zake ndo pasua kichwa, so ISP wanachofanya ni kubana speed. Ila hapa atleast kuna kautamu utamu, check attachment. :ranger:
.Bongo 4G ipo isipokua gharama zake ndo pasua kichwa, so ISP wanachofanya ni kubana speed. Ila hapa atleast kuna kautamu utamu, check attachment. :ranger:
3g ni wcdma ni umnts
3.5g ni hspa
3.75g ni hspa+
voda tigo na airtel wote wanayo hspa+ ila speed yake unaweza pasua simu bora hspa (3.5)