halafu hiyo no 17 sijui hamjaiona? lol
apo kwenye namba sita hapo...!
Hapo ni vice versaapo kwenye namba sita hapo...!
nimejifunza no 36....
Usiku mwema sissy, asante kwa kumuokoa huyu lost soul. lolNimefurahi kusikia hilo, naomba usome namba 2 pia.... na kama una muda hata 1....lol.
Kwa mafunzo hayo,its time i call it a day...have saved one soul tonight....lol
Usiku mwema sissy, asante kwa kumuokoa huyu lost soul. lol
Hii ni mara ya pili mwanamke ana underline that part katika usiku huu huu, tena wote watu ninao waamini sana...Thank you dearest, endelea tu kumuokoa awe wa tofauti....mkumbushe namba 32!
Stay well, see you soon dear!
Hii ni mara ya pili mwanamke ana underline that part katika usiku huu huu, tena wote watu ninao waamini sana...
ahsanta sna Kongosho, mimi nipo.asante consi
za siku? Umepotea hadi nimesahau anthropology.
14? that is a stupid statment!
ila 38 nimeipenda.
apo kwenye namba sita hapo...!
dah.........asante saana
asante