Gele vaheke Senior Member Mar 22, 2012 138 6 Jun 9, 2012 #1 Jamani mwenye simu ya 3g touch screen nina hitaji ofa ninayo 150000
Kobello JF-Expert Member Feb 20, 2011 8,636 7,919 Jun 9, 2012 #2 ya aina gani? ... zipo za aina nyingi, be specific
Gele vaheke Senior Member Mar 22, 2012 138 6 Jun 9, 2012 Thread starter #3 Iwe nokia samsung htc na aina nyingine asante
Kobello JF-Expert Member Feb 20, 2011 8,636 7,919 Jun 9, 2012 #4 Hiyo hela ndogo sana! labda za kichina.
Gele vaheke Senior Member Mar 22, 2012 138 6 Jun 9, 2012 Thread starter #5 Da jamani na naongeza 50000
Kaizer Platinum Member Sep 16, 2008 25,320 17,822 Jun 9, 2012 #6 kumbe umezungumzia simu tu na sio specific brand..ungekuwa specific ungefanikiwa zaidi.
Gele vaheke Senior Member Mar 22, 2012 138 6 Jun 9, 2012 Thread starter #7 Na jua wengi mnazo za bei juu sio mbaya mkanitoa mwana jf mwenzenu
Nduka JF-Expert Member Dec 3, 2008 8,552 2,359 Jun 10, 2012 #9 elank54 said: Bb bold 9700 ! 280,000/- Click to expand... Hii ni touch screen?
Gele vaheke Senior Member Mar 22, 2012 138 6 Jun 10, 2012 Thread starter #10 Hata kama unayo aideos za tigo ni pm tuwasiliane ofa kwa dar tu