3d tv broadcast

RRONDO

JF-Expert Member
Jan 3, 2010
51,719
107,833
Jana nilikuwa naangalia mechi kati MAN UTD na MAN CITY kwenye 3D TV CHANNEL, kwa kweli nilichokiona hakikunishawishi kununua 3D TV once zikianza kuuzwa madukani.

Sikuona tofauti kubwa sana na normal channel (zilikuwa zinaonyeshwa sambamba) zaidi ya clarity ambayo unaweza kuipata ukitumia HD CHANNEL.

Je wenzangu ambao mmeona 3D TV mmeionaje?
 
Ni mpaka ujue 3D(3dimension) inamaanisha nini, ndo utaweza kuona (kwa macho )difference yenyewe!..Otherwise, difference ni ndogosana, na si ya umuhimu sana!
 
Ni mpaka ujue 3D(3dimension) inamaanisha nini, ndo utaweza kuona (kwa macho )difference yenyewe!..Otherwise, difference ni ndogosana, na si ya umuhimu sana!
....Na mara nyingine usione tofauti kabisa kwa sababu sio kila mtu ana macho yenye uwezo wa kuona 3D....
 
kwa hiyo ukinunua hiyo 3D inabidi uvae na miwani yake ndio utaona tofauti....hahaaa. sasa uto tumiwani tunaweza kuwa tungapi kwenye seti moja ya 3D maana familia zetu hizi za watoto watatu plus baba na mama , bila kusahau ndugu mmoja wa upande wa mume na mmoja wa upande wa mke , plus dada wa kazi , bado jirani hajakuja kuangalia DSTV ili amuone ROONEY ama Scholes akifunga goli la kichwa....kweli nahisi kama tumiwani hatutatosha maana .
 
Hiyo 3D channel inaitwaje au unachanganya madawa mkuu?
Na kama wallivyosema wadau bila kuvaa miwani maalum ni sawa na Kugalia HD (high definition) movie kwenye Lower definition computer screen/TV Huwezi kuona tofauti.

Mfano capacity ya monitor/TV yako ni pixel 1280 X 800 unatuimia kuangali movie DVD yenye Very High Definition (VHD) 2140 x 1200.Huwezi kuona quality ya picha inayotegemewa.
 
tv set zenyewe zinaweza kuwa za 3D na usihitaji kuvaa miwani wakati wa kutizama

lakini kwa 3D channels tu za kawaida bila ya kuvaa miwani hakuna tofauti na tv set ya 2D
 
Wengi hawajajua 3D ina maana gani, wengine wana dhani 3D ni HD iliyo na quality nzuri zaidi , ni awa na HD TV zilivyo ingia ilichukau muda kw awatu kuelewe ili upate quality ya HD unatakiwa uwe na nini na nini.

Ok kabla huja nunua hiyo 3D-TV nakushauri nenda kwenye IMAX cinema ambayo inaoneysha movie in 3D , ona majic ya hiyo show then utajua tofauti ni nini , hakikisha hiyo movie kwnye IMax ni 3D na pia uwe umevaa miwani , halafu urudi hapa useme umeonaje na uhakika utakua mdomo wazi muda wote wakati wakuangalia hiyo movie.
 
tv set zenyewe zinaweza kuwa za 3D na usihitaji kuvaa miwani wakati wa kutizama

lakini kwa 3D channels tu za kawaida bila ya kuvaa miwani hakuna tofauti na tv set ya 2D


kama una set ya TV ambayo ni 3D ni lazima uvae miwani maalum ambayo inauzwa na set hizo. Kuna miwani ya watoto na wakubwa na bei ni tofauti. Kuna tofauti kubwa sana kati ya TV set za kawaida na 3D, bila kuvaa miwani hutaona tofauti yoyote ile. Mbebabox kama hukuvaa miwani maalum ulipokuwa unaangalia TV hiyo basi kamwe huwezi kuona tofauti.
 
Swali nzuri sana Chief, Inaonyesha jamaa hakuvaa miwani, bila miwani hakuna tofauti yeyote ile.

Miwani ni Muhimu sana, bila miwani macho yanapata tabu sana maana concept nzima ya 3D TV ni kwamba kunakuwa na Kamera Mbili na Zote zinarushwa kwa wakati mmoja so bila ile miwani utakuwa unaona Picha mbili mbili kwa wakati na mmoja na macho yanapata tabu sana kuziunganisha, ukiwa na Miwani mtu wangu 3D na 2D ni tofauti sana mpaka sasa hv hata marekani 3D tv bado hazijaanza kuwa Broadcasted ila zimeshafanyiwa majaribio its marvelous to watch. Bongo nadhani itachukuwa muda mrefu sana maana hata kama utakuwa na 3D capable receiver kama transmission hazina uwezo utaona kila kitu katika 2D

Kwa sasa Miwani ni Muhimu
 
kwa hiyo ukinunua hiyo 3D inabidi uvae na miwani yake ndio utaona tofauti....hahaaa. sasa uto tumiwani tunaweza kuwa tungapi kwenye seti moja ya 3D maana familia zetu hizi za watoto watatu plus baba na mama , bila kusahau ndugu mmoja wa upande wa mume na mmoja wa upande wa mke , plus dada wa kazi , bado jirani hajakuja kuangalia DSTV ili amuone ROONEY ama Scholes akifunga goli la kichwa....kweli nahisi kama tumiwani hatutatosha maana .


miwani yake ni very cheap,sinema wanatoa bure ikiisha inakuwa yako...
 
Hiyo 3D channel inaitwaje au unachanganya madawa mkuu?
Na kama wallivyosema wadau bila kuvaa miwani maalum ni sawa na Kugalia HD (high definition) movie kwenye Lower definition computer screen/TV Huwezi kuona tofauti.

Mfano capacity ya monitor/TV yako ni pixel 1280 X 800 unatuimia kuangali movie DVD yenye Very High Definition (VHD) 2140 x 1200.Huwezi kuona quality ya picha inayotegemewa.


kaka ni SKYSPORTS 3D ambayo kwa sasa iko kwa select pubs across UK,by 29 april itakuwa kwenye channel za home.....na huko pub wana 3D TVs ambazo zitaanza kuwa available madukani late april(in UK)
 
Wengi hawajajua 3D ina maana gani, wengine wana dhani 3D ni HD iliyo na quality nzuri zaidi , ni awa na HD TV zilivyo ingia ilichukau muda kw awatu kuelewe ili upate quality ya HD unatakiwa uwe na nini na nini.

Ok kabla huja nunua hiyo 3D-TV nakushauri nenda kwenye IMAX cinema ambayo inaoneysha movie in 3D , ona majic ya hiyo show then utajua tofauti ni nini , hakikisha hiyo movie kwnye IMax ni 3D na pia uwe umevaa miwani , halafu urudi hapa useme umeonaje na uhakika utakua mdomo wazi muda wote wakati wakuangalia hiyo movie.

Well at least u'll get me now,nimeona kwenye cinema,its brilliant,but kwenye TV especially football its not all that,maybe nikiwatch movies via hio 3D ON TV.
 
Well at least u'll get me now,nimeona kwenye cinema,its brilliant,but kwenye TV especially football its not all that,maybe nikiwatch movies via hio 3D ON TV.


Mkuu hata kama una 3D capable receiver kama Broacasters hawana 3D transmission system itakuwa ni kazi Bure. Mfano kwa bongo hata uwenayo 3D capable receivers utaona 2D kwa sababu TBC , ITV are not broadcasting 3D contents na ndio maana now 3D ni vitu ambavyo vinaoneshwa kwenye cinema halls
 
nilivaa miwani of course,hata ukivua unaona blurred images sio mbaya kiivyo

Hapana miwani hiyo ya kuangalizia katika 3D TV set si cheap ndugu yangu. Miwani ya wakubwa ni $299 na watoto ni $249 (sasa fikiria nyumba ya mume, mke na watoto wanne na mishahara ya kwetu) hii ni samsung ambayo ndiyo wametoa set zao za 3D TV mwezi uliopita. Sony niliwauliza wanadaia wao set zao za 3D zitaanza kupatikana June, lakini awali vitu hivi huwa na bei mbaya na baada ya muda vinaanza kushuka taratibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom