Dubu nahisi watuyeyusha.... kweli kabisa wamesema "menutes"?
Thank you, Merry X-mas to you too....
Mbona mi sijaelewa wajameni?? Ok, Merry Christmass!
Now nimemwelewa. Kuna facebook kuna ile namna yao ya kuandika status ilipostiwa saa ngapi, wapi kwa njia gani? Umenisoma?
Just now near Chumbani Kwangu.
Via Blakiberi ya tochi