32 bit vs 64 bit

Mkuu umeeleza vzuri na nimekupa like yangu....ila Mkuu unavosema kuna computer ambazo ni 32bits Na nyingine ni 64 bits nadhani unakosea kidogo...kwa uelewa wako wa computer nadhani ungesema OS ndo inaweza kuwa 32 bits au 64 bits..
Yeah ni kweli lakini tukumbushane kidogo kwamba OS pasipo na hardware kompyuta inakuwa si mali kitu, hivyo OS husika itatakiwa iendane na hardware configurations ambayo kimsingi itahusisha zaidi kichakata (processor) na hizo buses zitakazo tawanywa kupelekea taarifa kwenye maeneo tofauti. Processor ndio ambayo itapambanua aidha utumie OS ya 32bits ama 64bits kulingana na aina ulionayo, commonly huwa zinaandikwa kwa lugha ya kibiashara x64 ama x86 zikimaanisha 64bits ama 32bits respectively.
 
nioneshe computer yenye 32bit na 8gb ram
Mtazamo wa kawaidi kwenye hii ishu...32bit/64bit processor ...na kuna 32bit/64bit OS...vile vile na application software ni hivyo hivyo...

kama computer yako ina 4GB RAM then opt for 32bit OS na Kama ni zaidi ya 4GB RAM opt for 64bit OS...32bit ita perform vizuri sana kwenye 4gb rama na itakaribiana kabisa na 64bit kwenye 8gb ram computer..
 
Mtazamo wa kawaidi kwenye hii ishu...32bit/64bit processor ...na kuna 32bit/64bit OS...vile vile na application software ni hivyo hivyo...

kama computer yako ina 4GB RAM then opt for 32bit OS na Kama ni zaidi ya 4GB RAM opt for 64bit OS...32bit ita perform vizuri sana kwenye 4gb rama na itakaribiana kabisa na 64bit kwenye 8gb ram computer..
hapana hata kwenye 4gb ram 64bit ni nzuri sababu
1.kama nilivyosema hapo juu hata kwenye 4gb ram 32bit haiwezi kutumia ram yote 4gb lazima ukienda my computer halafu uka right click then properties utaona kuna ram isiotumika
2. si kweli kwamba 4gb ram ya 32bit ni sawa na 8gb ram ya 64bit unless una ushahidi wa kitaalamu.
3. zipo app ambazo ni 64bit tu hazina version za 32bit hivyo unapoeka 32bit umeshajipunguzia apps kibao. mfano wa apps hizo ni kama arc welder runtime ya android chrome na adobe premiere
 
One thing to note is that 3D graphic programs and games do not benefit much, if at all, from switching to a 64-bit computer, unless the program is a 64-bit program. A 32-bit processor is adequate for any program written for a 32-bit processor. In the case of computer games, you'll get a lot more performance by upgrading the video card instead of getting a 64-bit processor.
 
processor zote za 32bit uwezo wake mwisho ni 4gb ram unless unarun server edition ya windows ndio kuna workaround za kubypass lakini pia haitakusaidia sababu 32bit software pia hazina nguvu kivilie.

ngoja nitaandika kirefu zaidi kuna kitu nasubiria kiishe hapa
mi nshakusoma mkuu hata wa huu ufafanuzi mfupi
 
haya sasa nisaidieni na mimi,nimeirudisha computer kwenye window 7,ila video haing`ai na kuna apps hazifanyi kazi ikiwemo bluestacks,nimekosa ingridients gani ili niinogeshe pc yangu,hasa mng`ao wa picha,umekuwa hafifu sana na hii ndio mara yangu ya kwanza ku`install window mwenyewe baada ya kuchoka kupigwa pesa na wajanja...msaada tafadhali cc mkwawa
 
One thing to note is that 3D graphic programs and games do not benefit much, if at all, from switching to a 64-bit computer, unless the program is a 64-bit program. A 32-bit processor is adequate for any program written for a 32-bit processor. In the case of computer games, you'll get a lot more performance by upgrading the video card instead of getting a 64-bit processor.
mkuu hii pia si sahihi, inaweza kuwa sahihi miaka 10 iliopita wakati games zinatumia 1gb, kwenye ulimwengu wa sasa wa kina GTA V na Witcher 3 usitegemee games itumie chini ya 2gb, ukumbuke kwenye 32bit hi ram ya chini ya 4gb inatumika na kernel na software, usishangae limit ya ram kwa software ikawa 2gb tu. pia ukumbuke computer ina multitasking vitu kama ant virus na program nyengine zinakuwa open vyote hivyo vitagombania ram na game husika kipindi unacheza

angalia hii video ya witcher 3 na gta v game linatumia hadi 7gb ram
 
haya sasa nisaidieni na mimi,nimeirudisha computer kwenye window 7,ila video haing`ai na kuna apps hazifanyi kazi ikiwemo bluestacks,nimekosa ingridients gani ili niinogeshe pc yangu,hasa mng`ao wa picha,umekuwa hafifu sana na hii ndio mara yangu ya kwanza ku`install window mwenyewe baada ya kuchoka kupigwa pesa na wajanja...msaada tafadhali cc mkwawa
driver za graphics mkuu, nitajie full name ya hio pc ikiwezekana na processor yake. nenda my computer halafu right click halafu chagua properties kujua aina ya processor
 
Hapo kuna walakini sio siri, navyojua hio concept ya bits iwe 32/64 inatokana na kitu kinaitwa data bus zilizopo katika mfumo wa computer. Kazi ya data bus ni kusafirisha taarifa (data) kutoka katika eneo moja kwenda jingine ndani ya computer aidha toka kwenye Ram kwenda kwa Cpu n.k. Bus ni mkondo unaobeba hizo data.

Data ni taarifa yoyote isio rasmi yaweza kuwa tarakimu,herufi ama alama za kiuandishi. Hizi data huwa na vipimo maalum kitaalamu navyo tulianzia bits, bytes, kilobytes, megabytes, gigabytes na sasa naona tumekwishafikia terabytes katika matumizi yetu ya kawaida.
Tukija kwenye swala la mtoa mada, wanaposema 32bits ama 64bits ina maana kwamba kompyuta husika ina mkondo unaowezesha kusafirisha kiwango cha taarifa yenye ujazo wa 32bits vivyo hivyo huwa kwa 64bits. Ukitazama haraka utaona kwamba 64bits ni mara mbili ya ile 32bits hivyo 64bits inakuwa bora zaidi.

Applications zake katika matumizi ya kompyuta ni kwamba kunakuwaga na softwares ambazo ili kuweza kuzitumia zinahitaji teknolojia ya usafirishaji wa taarifa uwe kwa kiwango cha 32bits na zile zinazodai 64bits. Hivyo nzuri ni kuwa na komyuta yenye kiwango cha 64bits maana itakupa nafasi ya kutumia hata softwares zitazohitaji kiwango cha chini ambacho ni 32bits kwa sasa!
mkuu umeitendea haki elimu yako ya computer.sina cha kuongeza
 
Kwahiyo kama natumia 32bt nataka kwenda 64bt nafanyeje?
CPU Architecture ya computer yako ni 64Bit? Kama computer yako ni recently model definetely inaweza kuwa ni 64b
mkuu hii pia si sahihi, inaweza kuwa sahihi miaka 10 iliopita wakati games zinatumia 1gb, kwenye ulimwengu wa sasa wa kina GTA V na Witcher 3 usitegemee games itumie chini ya 2gb, ukumbuke kwenye 32bit hi ram ya chini ya 4gb inatumika na kernel na software, usishangae limit ya ram kwa software ikawa 2gb tu. pia ukumbuke computer ina multitasking vitu kama ant virus na program nyengine zinakuwa open vyote hivyo vitagombania ram na game husika kipindi unacheza

angalia hii video ya witcher 3 na gta v game linatumia hadi 7gb ram


Mimi nakuelewa vizuri sana, ila wewe unashindwa kunipata...kama game iko kwa ajili ya 64bit pekeyake elewa kuwa itatumia Ram zaidi...huo no ukweli...

The 32-bit processor was the primary processor used in all computers until the early1990s. Intel Pentium processors and early AMD processors were 32-bit processors. The operating system and software on a computer with a 32-bit processor is also 32-bit based, in that they work with data units that are 32 bits wide

The 64-bit computer has been around since 1961 when IBM created the IBM 7030 Stretch supercomputer. However, it was not put into use in home computers until the early 2000s. Microsoft released a 64-bit version of Windows XP to be used on computers with a 64-bit processor

Note: A computer with a 32-bit processor cannot have a 64-bit version of an operating system installed. It can only have a 32-bit version of an operating system installed.

A computer with a 64-bit processor can have a 64-bit or 32-bit version of an operating system installed. However, with a 32-bit operating system, the 64-bit processor would not run at its full capability.
 
CPU Architecture ya computer yako ni 64Bit? Kama computer yako ni recently model definetely inaweza kuwa ni 64b


Mimi nakuelewa vizuri sana, ila wewe unashindwa kunipata...kama game iko kwa ajili ya 64bit pekeyake elewa kuwa itatumia Ram zaidi...huo no ukweli...

The 32-bit processor was the primary processor used in all computers until the early1990s. Intel Pentium processors and early AMD processors were 32-bit processors. The operating system and software on a computer with a 32-bit processor is also 32-bit based, in that they work with data units that are 32 bits wide

The 64-bit computer has been around since 1961 when IBM created the IBM 7030 Stretch supercomputer. However, it was not put into use in home computers until the early 2000s. Microsoft released a 64-bit version of Windows XP to be used on computers with a 64-bit processor

Note: A computer with a 32-bit processor cannot have a 64-bit version of an operating system installed. It can only have a 32-bit version of an operating system installed.

A computer with a 64-bit processor can have a 64-bit or 32-bit version of an operating system installed. However, with a 32-bit operating system, the 64-bit processor would not run at its full capability.
kwanini litumie ram nyingi? nipe sababu ya kitaalamu,
 
driver za graphics mkuu, nitajie full name ya hio pc ikiwezekana na processor yake. nenda my computer halafu right click halafu chagua properties kujua aina ya processor
COMPUTER:DELL INSPIRON N5050
Processor:Intel(R)Pentium(R)CPU B960@2.20GHz
Memory:2.00 GB
Msaada tafadhali mkuu@mkwawa
 
Back
Top Bottom