lewasHi wana jimii kwa mara ya kwanza najitokeza kwenye jukwaa la uchaguzi 2010 nimeona nianze kwa kuwakumbusha vijana wenzangu zile kadi siyo za kufungulia account za benki tu lakini 31 october zitumike kufanya maamuzi makubwa kwa nchi yetu.
Do not SAY NO TO KIKWETE; SAY YES TO DR. SLAA. BECAUSE IF YOU SAY NO TO KIKWETE, AND YES TO SLAA, THEN YOUR VOTE WILL BE COUNTED AS SPOILT.
SAY YES TO DR. SLAA
:glasses-nerdy: