3 PSP for Sale

emilwayne

JF-Expert Member
Nov 25, 2011
265
19
Ni mpya na zipo kwenye box lake and unapata na 2 cd free bei ni ndogo compare na bei yake,its onli 450,000... Pm me kama unahitaj
 
Ni mpya na zipo kwenye box lake and unapata na 2 cd free bei ni ndogo compare na bei yake,its onli 450,000... Pm me kama unahitaj

Mjomba kwa unatakiwa kujua kuwa si hakuna mtu anayejua kila kitu!
Unapoleta tangazo kama hili unategemea nini; kwa kifupi Tangazo lako halijitoshelezi kabisa, si kweli kama unavyofikiri kuwa hivyo vifupisho kila mtu anavijua!
Jifunze ku-socialize mambo!
Unasema zipo 3 bei 450,000 kwani lazima zinunuliwe zote kwa pamoja kama nataka moja kwenye hzo 3? Naomba mwongozo!
 
Zipo 3 na kila moja 450,000
Dola mia unapata moja.

oGF35Tu8R5Noe2QnaR1dW3XEcg_WbA26jrRSUWb6KEp3vZB_isJQeynaLGZLNqb_gxwbQX2rbTCanZ5NPPVtL5jTYbk4sjqrPBqrI2PrZpNh_o62JBrLqCGiMeKXMM3b8bnml752h-c-5iiEy5cs4rfEr-E


AU hii ndiyo laki 4.5?

211494116.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom