hapa nna mzuka balaa, la naogopa wacje wakantupa st.joseph maana nmeweka ya mwsho i mean ya3
hapa nna mzuka balaa, la naogopa wacje wakantupa st.joseph maana nmeweka ya mwsho i mean ya3
Jaman huu mwaka wetu ni mwaka wa kuvunja record za ajabu ajabu..ni kwel mwaka huu second round application unapewa nafac had 5 za kuchagua vyuo!
hahahaha!majani=majina
Ivi Wakuu Unaweza Uka Apply 2nd Round Afuu Ukatemwaa Tena Ama?
ukiwa huna uhakika na jambo usijibu na kupotosha watu ,kutemwa tena au kutotemwa ni siri ya TCU.kwa hii ya mwaka huu inawezekana kabisa, mwaka jana ilikuwa ukifanya 2ndround unaambiwa hapo hapo kama umepata au umekosa na ilikuwa huwez kuremove, mwaka huu unaweza kubali af tena mpaka 5, bado huenda wakaweka watakaojaza eng na petroleum zilizoongezwa udsm, na watakosa manake nyingine capacity ni 5
ukiwa huna uhakika na jambo usijibu na kupotosha watu ,kutemwa tena au kutotemwa ni siri ya TCU.
pa1 mkuusawa, ila nimesema inawezekana tusubiri,
kwa hii ya mwaka huu inawezekana kabisa, mwaka jana ilikuwa ukifanya 2ndround unaambiwa hapo hapo kama umepata au umekosa na ilikuwa huwez kuremove, mwaka huu unaweza kubali af tena mpaka 5, bado huenda wakaweka watakaojaza eng na petroleum zilizoongezwa udsm, na watakosa manake nyingine capacity ni 5
ukiwa huna uhakika na jambo usijibu na kupotosha watu ,kutemwa tena au kutotemwa ni siri ya TCU.
Umetemwa tena kaka!! Pole sana.Ila kama unajua una cr3dit yaan division three ya PCB ucjidanganye ukajaza medicine tena.Utatemwa utakosa chuo kabisa na hakuta kuwa na third selection.Na uhakika na nnachokisema.Wenye division three PCB jazeni koz zngne tofauti na za afya.Na uhakika kama kuna mtu ana cut off point y 9 kapata medicine anyooshe kidole,hakunaa.I'm not jocking ila n ukweli tupu.Sasa mjidanganye eti akuna kutemwa utalia utakaa tena mwaka wa pili nyumbani.Kwani PCB wenye point tisa walioomba medicine choices zote tano wamekosa vyuo. Wameomba tena awamu ya pili.Mwenye credit ukijaza medicine unaenda compete tena na hao wa merit.Kwel mkuu..Watu tunapresha hapa mwaka mzima mtaan af anasema nn huyo..