BOLT
Member
- Jan 25, 2011
- 38
- 1
Kuna walevi wa 3 wamelewa wakakodisha taxi mwenye taxi alipowaona
wamelewa sana akawasha gari halafu akazima akawajibu tayari tumefika
wa kwanza akatoa hela
wa pili ...akasema thank u
wa tatu: akampiga kibao akamwambia: Eboo siku nyingine usiwe unaendesha gari kwa kasi hivi utakuja
kutuuwa.
KiJANA WA KIHINDI BAADA YA TUITION YA KISWAHILI,ANAJIBU IFUATAVYO:
1)Mfa maji?...tampa life jacket.
2)Mwenda pole?...tachelewa fika.
3)Usipoziba ufa?...mizi taona mpaka dani.
4)Usilolijua?...uliza google.com.
5)Mbio za utelezini?...chafua guo yako.
6)Ukipenda boga?...ngoja mezi ya ramzani tapata.
7)Ukiona vinaelea?...iko nyepesi hiyo.
8)Maji yakimwagika?...mambie dada ta-deki.
9)Chelewa chelewa?...takosa guo ya sikukuu.....baiya
wamelewa sana akawasha gari halafu akazima akawajibu tayari tumefika
wa kwanza akatoa hela
wa pili ...akasema thank u
wa tatu: akampiga kibao akamwambia: Eboo siku nyingine usiwe unaendesha gari kwa kasi hivi utakuja
kutuuwa.
KiJANA WA KIHINDI BAADA YA TUITION YA KISWAHILI,ANAJIBU IFUATAVYO:
1)Mfa maji?...tampa life jacket.
2)Mwenda pole?...tachelewa fika.
3)Usipoziba ufa?...mizi taona mpaka dani.
4)Usilolijua?...uliza google.com.
5)Mbio za utelezini?...chafua guo yako.
6)Ukipenda boga?...ngoja mezi ya ramzani tapata.
7)Ukiona vinaelea?...iko nyepesi hiyo.
8)Maji yakimwagika?...mambie dada ta-deki.
9)Chelewa chelewa?...takosa guo ya sikukuu.....baiya