Maisha bora kwa kila mtanzania ikiwemo watoto. Kwa kasi zaidi, kwa ari zaidi na kwa nguvu zaidi. Hilo ndilo Taifa la kesho!!! Taifa la kesho ni watoto wa vibosile wanaoandaliwa na wazazi wao walio madarakani ili wandelee kuwanyonya wa aina ya hao waliolala kama huu malaika hapa.View attachment 60212
inasikitisha sana
View attachment 60212
inasikitisha sana
Tunajifunza nini kama taifa? Tunajifunza nini kama binadamu? Kila mmoja katika nafasi yake anajifunza nini kwa hii picha? Inaweza ikawa ni Tanzania au sehemu yoyote Africa... Je unaweza kufanya lolote kwa jamii inayokuzunguka inayoishi katika mazingira magumu...?View attachment 60212
inasikitisha sana
View attachment 60212
inasikitisha sana