Jamani mwenye taarifa,juu ya short list kwa walio fanya application za afisa tarafa na WEO :baby:since may up to date.
Shortlist imetoka,interview tayari watu wanapiga mzigo vituoni mwao.
Mkuu sikukatishi tamaa hila andika ushaumia kwa serikali usikute watu washalamba mishaara miwili na wanaendelea na kazi chunguza mjomba utabaini tu.
Mkuu mbona unakata tamaa mapema na serikali yako, hili swala bado linafanyiwa kazi, hakuna aliyeajiriwa vuteni subira wenye sifa mtaitwa
du!!!!!!!!!! huku kitaa tunazisubilia sana maana zilitoka nafasi nyingi kama na hizi wamezifisadi basi tenaShortlist imetoka,interview tayari watu wanapiga mzigo vituoni mwao.
Acha kupotosha umma kama huna taarifa za kweli kaa kimya.
ukweli ni kwamba bado watu hawajaitwa vuteni subira, muda wowote kuanzia sasa wenye sifa watakua shortilsted na mtaitwa
Tulieni wala msiwe na papara kwani mvumilivu hula mbivu na kama hipo,hipo tu liliopangwa na mungu mwanadamu hawezi kulipangua watabana mwisho wataachia!
mkuu unafanyia tume ya ajira??Mkuu mbona unakata tamaa mapema na serikali yako, hili swala bado linafanyiwa kazi, hakuna aliyeajiriwa vuteni subira wenye sifa mtaitwa
mkuu unafanyia tume ya ajira??
Mkuu nafasi yangu hainiruhusu kusema nilipo ila vuteni subira
uko baraza au usalama mpaka usiruhusiwe kusema?
Mbona mapema sana mkuu,kuna nafasi nyingi ambazo walitangaza siku nyingi kama attorney general Chambers na shortlist bado?.