PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Wanajamvi taarifa nilizozipata hivi punde toka kwa kiongozi mmoja wa juu wa Tanesko nikuwa wafanyakazi 29 wa shirika la umeme Tanesko wamefukuzwa kazi na kufikishwa mahakamani hi leo,hawa ni wale waliotengeneza mgao feki wa umeme na kulihujumu shirika hilo.
UPDATE:
Imedhibitishwa kuwa ni kweli,na nimpango mahususi wa kuwazaba midomo wapinzani kufuatia operetion mbalimbali zinazoendelea nchini. Mtoa taarifa pia anasema hi inatokana na hali kuwa mbaya katika chaguzi zinazoendelea ndani ya chama Tawala.kwani hali imendelea kuwa mbaya kwa baadhi ya makundi ya wanaotaka UKIRANJA MKUU kwani baadhi ya makudi yanahusika mojakwamoja na hujumahii hivyo wanapata wakati mgumu wa kutetea nafasi zao ndani ya chama na hivyo kuamua kuwatoa kafara walio chini yao kwa maslahi ya wakubwa ili kuuhadaa uma wa Watanzania kuwa hawahusiki na wizi huo. ( nakuhakikishia hali ni mbaya sana huko juu,mambo hayaendi kabisa wakubwa wanakimbizana kutetea nafasi zao si mchezo kila kambi inajiimarisha inavyoweza na kila mbunu itatmika nakuhakikishia.)mwisho wa kumnukuu.
UPDATE:
Imedhibitishwa kuwa ni kweli,na nimpango mahususi wa kuwazaba midomo wapinzani kufuatia operetion mbalimbali zinazoendelea nchini. Mtoa taarifa pia anasema hi inatokana na hali kuwa mbaya katika chaguzi zinazoendelea ndani ya chama Tawala.kwani hali imendelea kuwa mbaya kwa baadhi ya makundi ya wanaotaka UKIRANJA MKUU kwani baadhi ya makudi yanahusika mojakwamoja na hujumahii hivyo wanapata wakati mgumu wa kutetea nafasi zao ndani ya chama na hivyo kuamua kuwatoa kafara walio chini yao kwa maslahi ya wakubwa ili kuuhadaa uma wa Watanzania kuwa hawahusiki na wizi huo. ( nakuhakikishia hali ni mbaya sana huko juu,mambo hayaendi kabisa wakubwa wanakimbizana kutetea nafasi zao si mchezo kila kambi inajiimarisha inavyoweza na kila mbunu itatmika nakuhakikishia.)mwisho wa kumnukuu.