LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Hbr nilitonywa ndani ya kambi ya (C.T.U) zamani na leo inatambulika ni T M A, Tanzania Miltary Academy inasema Amri Jeshi Mkuu kesho atakuwepo pale kambini na atawatunuku NISHANI maafsa kadha wa jeshi. Huyo ndiyo jk jamani na ajuwe kbs waraka wa wanajeshi 2,858 wametoa warning kwake na wapo humo humo. Jamani wanaJF nikasema niwajuze ndg zanguni mjuwe ndg ye2 atakuwa anatalii hapa A town ila sijui kama atalala pale Ngurudoto km zamani maana naona kama ameipa likizo Arusha yake. NAWASILISHA!!