huyo waziri wa utamaduni hana mamlaka ya kuifungia ngoma ya Roma msanii msomi anyejua ni nini maana ya sanaa' Safi sana Roma mtoto wa mkulima zidi kuandika vitu vya maana kama hivyo. Wimbo nimeusikia na niimeununua kwa buku tatu tu. Fanyeni hivy dogs kwani ndivyo tunavyotambulika na hao walioimbwa na roma.
Onyo________kwa yoyote atakaye sababisha ngoma ya Roma kusambaa kwenye internet atachukuliwa hatua za kinizamu. Na si vizuri kununua na kuanza kugawa hiyo itasababisha The Great Educated hip pop mc kutopata mahela mengi kama zilivyo ndoto zake kwenye hiyo truck ya ROMA2030.
Ni hayo tu SINA MENGI SANA'
Onyo________kwa yoyote atakaye sababisha ngoma ya Roma kusambaa kwenye internet atachukuliwa hatua za kinizamu. Na si vizuri kununua na kuanza kugawa hiyo itasababisha The Great Educated hip pop mc kutopata mahela mengi kama zilivyo ndoto zake kwenye hiyo truck ya ROMA2030.
Ni hayo tu SINA MENGI SANA'