Mitaala ya Kipolisi nayo itakuwa ni jipu tu, inabidi ipitiwe ili itumbuliwe.Nahis atakuwa kwa dada yake ,si unajua wameiolewa yeye na dada yake nyumba moja.....huku sija muona na hawez kaaa kipigo kilikuwa kikali sana
Ila huyu bwana ni kubwa jinga eti unaacha kazi yako unaenda kuishi na mume ws dada yako.......Mitaala ya Kipolisi nayo itakuwa ni jipu tu, inabidi ipitiwe ili itumbuliwe.
Haiwezekana a well trained Police officer aache kazi na kumng'ang'ania shemeji awachukuw yeye na dada yake akaishi nao.
Kama haya niyasomayo humu ya takua na ukweli, basi ni fadhaa sana.
endelea kujidanganya .Mtaishia kung'ang'ana na majimbo matatu, huku ccm wakipiga bao majimbo kibao pia uraic mtaishia kuuckia kwa radio muulizen lowasa
jamani chondechonde nawaomba sana , lukosi ana watoto kawaacha Iringa , baadhi wako TANANGOZI na wengine wako KIHESA , tusifunue ukweli wote , ni aibu .Ila huyu bwana ni kubwa jinga eti unaacha kazi yako unaenda kuishi na mume ws dada yako.......
imebidi nicheke japo kwa uchungu .Mitaala ya Kipolisi nayo itakuwa ni jipu tu, inabidi ipitiwe ili itumbuliwe.
Haiwezekana a well trained Police officer aache kazi na kumng'ang'ania shemeji awachukuw yeye na dada yake akaishi nao.
Kama haya niyasomayo humu ya takua na ukweli, basi ni fadhaa sana.
Hapa atapita asome ajirekebishe......jamani chondechonde nawaomba sana , lukosi ana watoto kawaacha Iringa , baadhi wako TANANGOZI na wengine wako KIHESA , tusifunue ukweli wote , ni aibu .
Kiongozi umesahau na Jimbo la Mapinduzi Makubwa Tanzania haijawai kutokea KARATU. CCM hata waende4 na wajeda mabomu mkononi KARATU hawalambi kitu, maana watu wengi walitegemea mara baada ya Dk.Slaa kulaghaiwa na Josephine CCM wangechukua JimboJimbo la iringa mjini , mbeya mjini, moshi mjini, ,arusha mjini, arumeru kwa nasari ccm hata wafanye kampeni uchi hawawezi.na sasa litaongezeka jimbo la Heche,
Mungu akulinde sana .Kiongozi umesahau na Jimbo la Mapinduzi Makubwa Tanzania haijawai kutokea KARATU. CCM hata waende4 na wajeda mabomu mkononi KARATU hawalambi kitu, maana watu wengi walitegemea mara baada ya Dk.Slaa kulaghaiwa na Josephine CCM wangechukua Jimbo
inahitaji kuilazimisha sana kuingia akilini...ila ndiyo imeshakuwa.Ila huyu bwana ni kubwa jinga eti unaacha kazi yako unaenda kuishi na mume ws dada yako.......
Eeeee bhana eeeee!!! kumbe iko hivyo ?Kwa sasa msigwa ni kati ya wabunge wa maisha majimboni mwao labda mungu apende
Mkuu kwenye ukweli lazima tuseme ukweli,msigwa sasa amewanyang'anya ma ccm hata umiliki wa Manispaa ya iringa,siyo mchezoEeeee bhana eeeee!!! kumbe iko hivyo ?
Kuna majimbo ccm hawatii mguuMungu akulinde sana .
Kwelikweli ccm huko wakipita ni sawa na mtu kuingia chumbani kwa mkweoKiongozi umesahau na Jimbo la Mapinduzi Makubwa Tanzania haijawai kutokea KARATU. CCM hata waende4 na wajeda mabomu mkononi KARATU hawalambi kitu, maana watu wengi walitegemea mara baada ya Dk.Slaa kulaghaiwa na Josephine CCM wangechukua Jimbo
PeopleeeeeeeeeeeeeeeesssssssssssssssssssssViva Mh.Msigwa naona makamanda bado wanakupigia chapuo sana sasa fanya kazi kubwa zaidi inayozidi akili ndogo......umeleta maendeleo mengi jimboni Iringa mjini, hata Baba Mkwe wangu alikuwa mpiganaji wa maccm mwaka 2010 aligeuka baada ya kuonyesha tofauti y auongozi wako na wa macccm uliopita miaka mingi, mwaka jana amekuunga mkono kwa kura za familia yake yote inaishi mtaa wa Ilala, tena alinambia mwaka huu Msigwa lazima tumpe na halmashauri yote kweli ahadi wametimiza wanaIringa mjini hongereni sana kwa uamuzi sahihi na mengi mema yapo njiani mfano Maji ilikuwa shida leo hii yapo yakumwaga n.k piga kazi kamanda tutazidi kukuombea zaidi na zaidi --peooooooooopleeeeeeeeeeez pooooooooowaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! 2020.
Labda big g...sio jimbo, otherwise mnajisumbua tu.Huyo hukumu yake ni mwaka 2020 lazima atemeshwe hilo jimbo