2020 Mwakalebela usipoteze muda wako Iringa Mjini, Msigwa ni Jabali

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,343
217,381
Kuna taarifa za chini kwa chini kwamba eti unajiandaa kufufua chama chako ccm ili umng'oe Mchungaji Msigwa Iringa mjini ,

Nakushauri achana na jimbo hilo , humuwezi Msigwa , jaribu kutafuta jimbo lingine , ulipotoswa kwa mizengwe na ccm 2010 wengi walikuhurumia hata hivyo Msigwa akamgalagaza mgombea wa chama chako , japo halmashauri mlibaki nayo ,

Safari hii ukapewa nafasi uliyoililia kwa muda mrefu sana , tena ukiwa kiongozi wa serikali ( DC wa Wanging'ombe ) ukapambana na RAIA WA KAWAIDA tena aliyewahi kulala selo ( sakata la wamachinga ) ,akakubwaga vibaya sana !

ulipigwa kwa zaidi ya kura 10,000 , mkuu hiki ni kipigo kisichokuwa na mashaka yoyote , kama vile haitoshi ukasalimisha na halmashauri nzima kwa Raia Msigwa .

Kwa heshima na taadhima nakushauri mkuu wangu achana na ubunge wa Iringa , endelea na mambo mengine au utafute jimbo mkoa wa Dodoma .
 
Hahahaaaa tumbo tumbo ataisoma namba....bado Isimani huku kwa mzee aliyeweka mizizi atatoka tu maana hamna namna
 
Huyu jamaa pamoja na mpambe wake lukos ,sijawasikia tena...nakumbuka tu huyu jamaa na wenzake walikuwa wana wimbo wao ...tunataka jimboletu....waliimba na kuzunguka Iringa mjini....na wanafunzi wa primary ...ila kipigo walichopata hawatasahau ......msigwa alikuwa na diwani mmoja sasa ameongeza 13.....kwel wewe ni jabali...2020 tunamsubiri rafiki yake mwakalebela mbeba maboksi maarufu lukos ,,,aje tumuonyeshe tulivyo na hasira .....na ccm Hapa Iringa mjini......Mchungaji ile ahadi yako ya kututembelea huku Itamba usisahau........
 
Huyu jamaa pamoja na mpambe wake lukos ,sijawasikia tena...nakumbuka tu huyu jamaa na wenzake walikuwa wana wimbo wao ...tunataka jimboletu....waliimba na kuzunguka Iringa mjini....na wanafunzi wa primary ...ila kipigo walichopata hawatasahau ......msigwa alikuwa na diwani mmoja sasa ameongeza 13.....kwel wewe ni jabali...2020 tunamsubiri rafiki yake mwakalebela mbeba maboksi maarufu lukos ,,,aje tumuonyeshe tulivyo na hasira .....na ccm Hapa Iringa mjini......Mchungaji ile ahadi yako ya kututembelea huku Itamba usisahau........
Chriss Lukos hatomsahau Msigwa Milele .
 
Hahahaaaa tumbo tumbo ataisoma namba....bado Isimani huku kwa mzee aliyeweka mizizi atatoka tu maana hamna namna
Huyo hukumu yake ni mwaka 2020 lazima atemeshwe hilo jimbo
 
Huyu jamaa pamoja na mpambe wake lukos ,sijawasikia tena...nakumbuka tu huyu jamaa na wenzake walikuwa wana wimbo wao ...tunataka jimboletu....waliimba na kuzunguka Iringa mjini....na wanafunzi wa primary ...ila kipigo walichopata hawatasahau ......msigwa alikuwa na diwani mmoja sasa ameongeza 13.....kwel wewe ni jabali...2020 tunamsubiri rafiki yake mwakalebela mbeba maboksi maarufu lukos ,,,aje tumuonyeshe tulivyo na hasira .....na ccm Hapa Iringa mjini......Mchungaji ile ahadi yako ya kututembelea huku Itamba usisahau........
U emsahau yule mama kabati aliye jidai kula kiapo eti lazima alirudishe jimbo la iringa mikononi mwa ccm
 
U emsahau yule mama kabati aliye jidai kula kiapo eti lazima alirudishe jimbo la iringa mikononi mwa ccm
Yule siwez kumuongelea na hata Chiku Abwao....walokuwa ni washangiliaji tu hawana jipya wale......Ila watu waliokuwa wanajigamba huku Huyu dada Mkosi ,mbeba maboks maarufu uingereza na mwenzake Tumbo ,Mwakalebela .........
 
U emsahau yule mama kabati aliye jidai kula kiapo eti lazima alirudishe jimbo la iringa mikononi mwa ccm
tena tunamlazimisha aje ajitokeze aseme kisa cha kushindwa kurudisha jimbo kama alivyoahidi .
 
Yule siwez kumuongelea na hata Chiku Abwao....walokuwa ni washangiliaji tu hawana jipya wale......Ila watu waliokuwa wanajigamba huku Huyu dada Mkosi ,mbeba maboks maarufu uingereza na mwenzake Tumbo ,Mwakalebela .........
Hivi huyo jamaa lukosi bado yupo iringa au kasha sepa?
 
Back
Top Bottom