2016 US Elections - Exlusive discussion thread

Hii inasababishwa sana na negativity ya kutisha kwenye kampeni za Urais na pia ni lazima uweze kukusanya si chini ya $1.5 billion ili kuweza kufanya kampeni ya uhakika. Ukiangalia kwenye primary elections ya GOP, japo mimi siwaungi mkono, lakini kulikuwa na wagombea wazuri kuliko Trump lakini wakapigwa chini kutokana na lugha za Trump dhidi ya wahamiaji ambazo ziliungwa mkono wa wapiga kura katika chaguzi zile.

Kuna mtu mmoja alikuwa analalamika juzi, mpiga kura wa Republican. Akasema yaani kati ya Wamarekani 350M+ ndio tumeishia kupata hawa wagombea wawili ambao hakuna hata mwenye unafuu?.
 
Watakaougua wako wengi sana Kui kama Trump atashinda, ni mamilioni. I am waiting for my invitation card.:p:p:p

Hahaaa!, asee ntakutafuta mbona, cos nishaanza kuandaa celebration party hivoo, sasa asipopita naona ntaugua...lol
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hahaaa!, asee ntakutafuta mbona, cos nishaanza kuandaa celebration party hivoo, sasa asipopita naona ntaugua...lol
Ngoja niiandae. Yaani ile spirit yako ya kuandika niliyoiona kabla inazidi kupungua. Inaitwa kupatwa kwa Trump
 
  • Thanks
Reactions: kui
Watakaougua wako wengi sana Kui kama Trump atashinda, ni mamilioni. I am waiting for my invitation card.:p:p:p

Not a problem BAK


Hii inasababishwa sana na negativity ya kutisha kwenye kampeni za Urais na pia ni lazima uweze kukusanya si chini ya $1.5 billion ili kuweza kufanya kampeni ya uhakika. Ukiangalia kwenye primary elections ya GOP, japo mimi siwaungi mkono, lakini kulikuwa na wagombea wazuri kuliko Trump lakini wakapigwa chini kutokana na lugha za Trump dhidi ya wahamiaji ambazo ziliungwa mkono wa wapiga kura katika chaguzi zile.



Halafu GOP hawakujiandaa vizuri, they took things lightly and didn't take him seriously.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kajipiga soap soap utadhani siye! anatupa msongo wa mawazo.


3648.jpg

Hillary Clinton waves outside her daughter’s apartment, where she went after leaving the 9/11 memorial ceremony in downtown New York.

...Exactly!, alivyotokea tena few hrs later probably was strategically planned.

Lakini BAK, unakumbukuka primaries za NH in 2008 when people were moved after she shed a tear, and she went on to win the primary?
This is not good Yes but they can turn it around.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Kajipiga soap soap utadhani siye! anatupa msongo wa mawazo.


3648.jpg

Hillary Clinton waves outside her daughter’s apartment, where she went after leaving the 9/11 memorial ceremony in downtown New York.


Heheh, aka pose kabisa na kupiga picha na mtoto. Wanasema pia pengine alikuwa dehydrated. Tutaona Dems watai punch vipi hii, au watamu overwork Kaine kwenye campaign.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ngoja tuone but voters need assurance that Hillary is okay. Therefore they need to see her on campaign events more than Kaine. Mie nimeanza kumuombea angalau asianguke tena kati ya sasa na November 8, kama ataanguka tena basi ushindi utakuwa mgumu sana kuupata.

Heheh, aka pose kabisa na kupiga picha na mtoto. Wanasema pia pengine alikuwa dehydrated. Tutaona Dems watai punch vipi hii, au watamu overwork Kaine kwenye campaign.
 
Ngoja tuone but voters need assurance that Hillary is okay. Therefore they need to see her on campaign events more than Kaine. Mie nimeanza kumuombea angalau asianguke tena kati ya sasa na November 8, kama ataanguka tena basi ushindi utakuwa mgumu sana kuupata.


True, she has to look well. Another good chance that she still has is debates. Inabidi amburuze Trump kisawa, otherwise with everything happening, not good for her.

Halafu polls this morning zilionyesha hali bado nzuri on her side, solid red states kama Arizona na Georgia are still up for grabs. Lakini na hili zengwe la leo sijui itakuwaje.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Keep on praying Kui. This coming election is very important not only for USA but the whole World.

True, she has to look well. Another good chance that she still has is debates. Inabidi amburuze Trump kisawa, otherwise with everything happening, not good for her.
Halafu polls this morning zilionyesha hali bado nzuri on her side, solid red states kama Arizona na Georgia are still up for grabs. Lakini na hili zengwe la leo sijui itakuwaje.
 
  • Thanks
Reactions: kui
According to CNN news alert, she's diagnosed with pneumonia.
 
Let's hope that she is not suffering from any other disease apart from pneumonia. (cross our fingers)

According to CNN news alert, she's diagnosed with pneumonia.
 
  • Thanks
Reactions: kui
sijui mambo ya kiusalama sana ila uwepo wa mlinzi rangi nyeusi tena karibu zaidi ni mkakati wa ku win rangi zote au kuonesha si mbaguzi?
 
Si mkakati wa kuwin rangi Mkuu bali tu jamaa kaaminiwa baada ya kufanyiwa vetting kwamba ana sifa zote za kumlinda mgombea Urais.

sijui mambo ya kiusalama sana ila uwepo wa mlinzi rangi nyeusi tena karibu zaidi ni mkakati wa ku win rangi zote au kuonesha si mbaguzi?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom