Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Huu muda unaopoteza kuniambia niache kuota mngeaza kuutumia kujirekebisha kabla ya panga la be.trump halijapita.Endelea kuota..
Hakuna kitu kama hiko.
Huu muda unaopoteza kuniambia niache kuota mngeaza kuutumia kujirekebisha kabla ya panga la be.trump halijapita.Endelea kuota..
Hakuna kitu kama hiko.
We ndo msemaji wa trump? Mwenyewe keshasema akiwa rais atawatoa ikulu sasa wewe ni nani mpaka upinge hilo? Jiandaeni tu hakuna namna.
Trump amekuwa politician baada ya kurun for presidency; hajawa kushika nafasi yoyote ya kisiasa (kwa ninavyofahamu). Na sidhani kama hata ana sifa za kuitwa mwanasiasa, maana wanasiasa wanafahamika kwa kutokuwa 100 honest katika wanayoyafikiri na kuyaongea. Trump doesn't give a sh*t about what comes out of his mouth! He doesn't the implications of what he spukes out of his mouth. He doesn't care about political correctness. Hizo sifa zote zinamfanya asiwe mwanasiasa. Labda kama kuna kitu tofauti ulikimaanisha.Trump is politician,I dont believe Politician
MuseveniDictator uchwara kama nani.? mfano plse..!
Kumbe mnaogopa eeh.wacheni sasa kutawala kibabe.Kuna watu wa libya walifurahia kuona majeshi ya wazungi yanakuja kmng'oa Ghadafi but mwisho wa siku na wao waling'oka na watoto wao wanaishi maisha ya tabu mpak Leo......Trump akija kumng'oa Maghufuli msifikri nyie mtabaki salama...atasuudha wotee na wake zenu....alafu atachukua Mali na kwenda nazo kula bata na akina Jay Z
Trump ni businessman siyo politician. Atawanyoosha tu mtake msitake.Trump is politician,I dont believe Politician
Kuwa mwanasiasa sio lazima uwe kiongozi ,OK assessment ya yeye kuwa Mwanasiasa inaanza baada ya yeye kuwa Raisi tusubiri utekelezaji wa ahadi zake ndio tutajua tabia halisi za wanasiasa huenda akawa wa kwanza kubadili hiyo theoryTrump amekuwa politician baada ya kurun for presidency; hajawa kushika nafasi yoyote ya kisiasa (kwa ninavyofahamu). Na sidhani kama hata ana sifa za kuitwa mwanasiasa, maana wanasiasa wanafahamika kwa kutokuwa 100 honest katika wanayoyafikiri na kuyaongea. Trump doesn't give a sh*t about what comes out of his mouth! He doesn't the implications of what he spukes out of his mouth. He doesn't care about political correctness. Hizo sifa zote zinamfanya asiwe mwanasiasa. Labda kama kuna kitu tofauti ulikimaanisha.
ukienda usa unakutana na Trump, ukienda Russia unakutana na mnyama puttin, Korea unakutana na KIM.. ukirudi home unakutana na JPM
Nahama sayari
Kule hakuna ahadi zinapigiwa kura sera zinazotofautisha vyama. Republicans wana imani kali ya utaifa wa Marekani kwanza hususan ubepari. Democrats wana sera na misimamo ya ujumla jumla kulingana na upepo ujamaa jamaa fulani.Kuwa mwanasiasa sio lazima uwe kiongozi ,OK assessment ya yeye kuwa Mwanasiasa inaanza baada ya yeye kuwa Raisi tusubiri utekelezaji wa ahadi zake ndio tutajua tabia halisi za wanasiasa huenda akawa wa kwanza kubadili hiyo theory
Koba niaje? Uko ICU nini?Forget mchuano Nevada, Colorado, Pennsylvania,Michigan ,Florida huko Trump kushinda anahitaji miracles,even North Carolina and Ohio itakuwa ngumu sana kwa Trump kushinda, Trump anaelekea kushindwa huu uchaguzi by landslide
mpwatrump anarudisha watu niedewapii nanchii niliotakakuhamia marekaniMpwa tunaisubiri ahadi yako ya kuhama nchini.
Hahaha OK .....Trump won ndio democracy hiyo maisha yanaendelea kama kawa ,Trump/Republicans don't give a shit kwa little people like you and you don't fit anywhere in their playbook na wataendelea with same Republican BS of slash taxes for the 1% and spend trillions on war ,ila I feel sorry for Iranians maana they will be next wale Ayatollas watamkumbuka Obama maana soon watanyeshewa za kutoshaHey sucker...who crying now? Who got the last laugh?
Talkin' shit when you don't know shit.
Hahaaa....who won again?
Trump is yo daddy now.Hahaha OK .....Trump won ndio democracy hiyo maisha yanaendelea kama kawa ,Trump/Republicans don't give a shit kwa little people like you and you don't fit anywhere in their playbook na wataendelea with same Republican BS of slash taxes for the 1% and spend trillions on war ,ila I feel sorry for Iranians maana they will be next wale Ayatollas watamkumbuka Obama maana soon watanyeshewa za kutosha
Wewe jitekenye alafu ucheke mwenyewe.Dictator uchwara kama nani.? mfano plse..!