2015: Kiongozi Tumtakaye - MTU WA WATU...

nimependa sana post yako ni vizuri tuweke vigezo vya aina ya viongozi tunaowata ili muda ukifika tuwapime kama wamefikia vigezo hivyo siku zote huwa nawaponda watu wanaojadili majina ya watu kwa ajili ya kugombea urais hii tabia ya kujadili watu badala ya vigezo ndiyo inasababisha tukawa tunachagua viongozi wabovu hasa wale wenye uwezo wa kununu vyombo vya habari na watumishi wake
 
quote_icon.png
By Imany John

Dedication.
A MAN OF THE PEOPLE~by CHINUA ACHEBE


And An ENEMY OF THE PEOPLE-Sembene Ousmane
 
Nimeipenda hii kwamba kiongozi wa watu ni mtu anayeombwa na watu kutumikia sio yule anayelilia kutumikia watu. Watu wameona sifa zake wanamwambia wewe unatufaa hata kama yeye mwenyewe hazijui! Wale wanaosema kwenye hotuba, "nilishtuka sana sana nilipopendekezwa na wenzangu kugombea nafasi hii, nilisita lakini baada ya kujadiliana na familia yangu na washauri wangu basi nikakubali heshima hiyo kwa moyo mkunjufu". Sio yule anayegawia watu hela na kutoa rushwa ili kupata madaraka!
 
Back
Top Bottom