Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Mwaka 2012 nadhani sasa ni mwaka mpya wa changes .Siku zote wakuu ninachukizwa na neno hili la mtu kuitwa Mheshimiwa .Yaani tunaacha kumwita Ndugu mbunge Regia tunamwita Mheshimiwa .Sipendi tena nasema nimekerwa , nimekereka ninakerwa hata sasa .Watu kama Mnyinga , Mbowe , Regia ,Lema , mnaweza kuuliza huko Bungeni kwenu kama itawezekana kufuata nyayo za Mwalimu ili kuleta usawa mbele ya jamii kwa kusisitiza kumwita JK ndugu Rais badala ya Mh.Rais au Mh.Mbunge na badala yake iwe ndugu Mbunge , ndugu Spika nk ?
Wewe unasemaje mwana JF ?
Wewe unasemaje mwana JF ?