Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,359
Huenda likawa jambo gumu sana kuthibitisha kama hii serikali kweli ilichaguliwa ama ilijichagua yenyewe.
I, like this one, Sasa kama ilijichagua kwa nini tusipige kelele, twakaa kimya tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda likawa jambo gumu sana kuthibitisha kama hii serikali kweli ilichaguliwa ama ilijichagua yenyewe.
Unajua nimegundua kuwa kumbe hata Obama mwenyewe hana utaratibu wa kuongea na wananchi wake kila mwezi. Nadhani JK naye ana kila sababu ya kutoendelea na huu utaratibu uliopitwa na wakati. Kinachoonekana kwa sasa ni kuwa ameamua kuwa mtendaji zaidi kuliko muongeaji, kitu ambacho kinastahili sifa sana. Si umeona bei za mafuta zilivyoshuka sasa.
Hujapoteza muda mkuu. Ipo siku kitu cha kufanya ili kujipatia kipato kitapatikana. Omba mungu na uzidi kuhangaika bila kukata tamaa.Hua najilaumu sana kwanini nimepoteza miaka 3 chuo, maana sasa naangaika kila siku kutafuta kazi ambazo hazipatikani nimechoka hadi kuapply
Leo asbh wife aliniambia stoo ya msosi ni nyeupe, taratibu nikajikongoja hadi CRDB kuangalia masalia nikachukua elfu 50, wife alihitaji kununua vitu vidogovidogo kama mchele, sukari, chumvi na mboga kidogo. Huwezi amini bei za vitu zinapanda kila siku wife karudi na kuniambia pesa haijatosha. Nimeapa kabisa hakika KIKWETE havumiliki.