Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,720
- 155,326
Umekua huaminiki kwa muda mrefu, unadaiwa madeni hulipi, unatoka nje ya ndoa, unatembea na wake/ waume wa watu, unatapeli. Umejitenga na uso wa Mungu, huna hofu ya Mungu hata kidogo, huabudu tena na wala hufanyi ibada. Badilika, ufanye mwaka mpya uwe wa mabadiliko kwako. . Mabadiliko ya dhati yanaanzia ndani ya moyo wako, kisha watu baki wataona kwa nje kupitia matendo yako.
Nakutakia Heri na fanaka kwenye sherehe hizi za Noeli na Mwaka Mpya
Nakutakia Heri na fanaka kwenye sherehe hizi za Noeli na Mwaka Mpya