Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Post/comment tatu bora kwa kwenye ili jukwaa ni zipi
Una ushauri kwa member yeyote kuhusu michango yake kwenye jukwaa hili.
heri ya mwaka mpya
Una ushauri kwa member yeyote kuhusu michango yake kwenye jukwaa hili.
- Mzizimkavu: punguza copy and paste.
- kilongwe: Hongera kwa kazi nzuri . Unapokoselewa kubali
- Shy: unaleta mada ambazo hajijadi. Masuala ya IT security USA unachukulia ndivyo ilivyo Tanzania. Nasoma mada zako lakini sioni kama una detail basic knowledge iwe ni ya Hardware, OS, Network, Database. wewe ni security secuty tu. Punguza copy and paste pia.
- Goodguy: kama si maigizo you Are very genius na intelligent kwenye science. Unaonekana unapenda sana mathematics.Kuwa mwangalifu kuna vi genius labda vipo vinakuchora maigizo yako
- Mtazamaji: Sijui niseme unajifnya mjuaji au kweli wewe unayajua mambo unayokuwa unapinga au kukubali
- Abdulahim punguza jazba na mamneo makali kwa watu wasiokubaliana na wewe kwenye hoja. Hapa ni Teknolojia sio siasa.
heri ya mwaka mpya